Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hii ndio tuzo atakayopewa Kinara wa ufungaji mabao katika michuano ijayo ya Kombe la Dunia. Je ni Messi, Ronaldo, Muller, Kane au Lewandowsky?
Kwa uzoefu wangu naona tuzo hii ikienda kwa Radamel Falcao Garcia ambaye wengi hawamtaji sana. Endapo akiwa fiti sina wasi wowote Falcao ndio atakuwa mfungaji bora wa michuano.
Tupia utabiri wako...
Kwa uzoefu wangu naona tuzo hii ikienda kwa Radamel Falcao Garcia ambaye wengi hawamtaji sana. Endapo akiwa fiti sina wasi wowote Falcao ndio atakuwa mfungaji bora wa michuano.
Tupia utabiri wako...