Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Satellite dish ni uelekeo tu wa dish linaangalia wapi, ila Azam unaweza tumia DStv/startimes/zuku and vice versa is true.Je, naweza funga LnB ya dstv kwenye kisimbuzi Cha Azam ama LnB ya Azam kwenye kisimbuzi Cha dstv na ikafanya kazi?
Mimi niliwafuata kweny WhatsApp namba yao nikachat nao nikanyoosha maelekezo kuwa ninahitaji chanel za free to air zioneshe hata kama sijalipia maana kifurushi kimeisha hapa na ni haki yangu wala siwaombi nikaweka namba yangu ya smartcard mbona saa haijaisha chanel zikaonesha ziko kama 10 hivi baada ya siku 1 zikaacha kuonesha tena nikawapiga mkwara safari nyingine zisipoonesha mtanijua mimi nani siwambii tena tutaonana mahakamani maana ni haki yangu.. Mpaka leo haziwahi kutoonesha tena hata kifurushi kikiisha.Mbona kuna free channels hasa za dini Azam wamezifunga Hadi ulipie. Hii ni sawa na kama ukizitaka unafanyaje?.
Nipe namba zao. Hivi mamlaka Zika wapi hata waamue kufanya hivi?. Ni laana hii kwa taifa hasa viongozi.Mimi niliwafuata kweny WhatsApp namba yao nikachat nao nikanyoosha maelekezo kuwa ninahitaji chanel za free to air zioneshe hata kama sijalipia maana kifurushi kimeisha hapa na ni haki yangu wala siwaombi nikaweka namba yangu ya smartcard mbona saa haijaisha chanel zikaonesha ziko kama 10 hivi baada ya siku 1 zikaacha kuonesha tena nikawapiga mkwara safari nyingine zisipoonesha mtanijua mimi nani siwambii tena tutaonana mahakamani maana ni haki yangu.. Mpaka leo haziwahi kutoonesha tena hata kifurushi kikiisha.
kwahiyo ukiwa ma dishi la Azam lakini decoda ni ya DStv au dishi DStv ila decoda ni Azam hakutokuwa na shida sio..sasa swali langu ikiwa dishi ni la Azam na decoda ni Dstv Je, ni channel zipi zitaonekana kwenye TV yangu je,ni channel za DStv au za Azam tv.?Satellite dish ni uelekeo tu wa dish linaangalia wapi, ila Azam unaweza tumia DStv/startimes/zuku and vice versa is true.
Channel zitaonekana kulingana na kisimbusi na uelekeo wa dish lako, kama kisimbusi ni Azam utaona channel za Azam, kama ni DStv utaona channel za Dstvkwahiyo ukiwa ma dishi la Azam lakini decoda ni ya DStv au dishi DStv ila decoda ni Azam hakutokuwa na shida sio..sasa swali langu ikiwa dishi ni la Azam na decoda ni Dstv Je, ni channel zipi zitaonekana kwenye TV yangu je,ni channel za DStv au za Azam tv.?
Mbona kuna free channels hasa za dini Azam wamezifunga Hadi ulipie. Hii ni sawa na kama ukizitaka unafanyaje?.