kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,273
- 1,703
Habar zenu wanajamvi?
kuna rafik yangu yeye kaomba chuo mwaka huu -2014, sasa anauliza kama kuna uwezekano wa kuahirisha mwaka wa masomo,aanze mwakani {2015/2016;je! ataweza kukubaliwa? na je! mkopo utabakia pale pale au utafutwa?
kuna rafik yangu yeye kaomba chuo mwaka huu -2014, sasa anauliza kama kuna uwezekano wa kuahirisha mwaka wa masomo,aanze mwakani {2015/2016;je! ataweza kukubaliwa? na je! mkopo utabakia pale pale au utafutwa?