Shukrani sana mkuu, ila sentensi ya Mwisho umenivunja mbavu😅Unaish bila wasi ila kaish mbagala, kkoo na mansense na jitahd umilik baiskel kwajili ya harakat za hapa na pale ilikupunguz nauli hapa na pale ili ukishi kitajili hapo perday yako n 10,000/- kama kaz yako itakuw haina posho
Karbu sanajijin kila ktu kipo kasoro cha Buree
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Wacha kumtisha bwana...siku hizi mtaro unapata kwa buku kumi.kama ni kiboro dinda iyo mb<><> weka kufuli
utakula mawe, Dar totoz kila kona, pesa yako tu
hahah wale wachafchaf wa Tandika, daaah bora puli aisee, mtoa mada usimsikilize huyu, anakupotezaWacha kumtisha bwana...siku hizi mtaro unapata kwa buku kumi.
ukiweza ku dhibiti 'nyege' niamini mimi una save zaidi ya 90% ya 'mshahara' wakoNikiweka kufuli nitaweza kuishi dar kwa mshahara huo?!😅
Kama Anna Makinda alishindwa kuishi Dodoma kwa millions kadhaa, sijui kama ndugu yangu utatoboa, labda kiujanjaujanja, napo ujue unajitia kwenye risk ya kutiwa kiberitiTafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu.
Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?!
Ahsante.
Apate 300,000 na saving iwe 270,000!! Matumizi kwa mwezi 30,000 meaningukiweza ku dhibiti 'nyege' niamini mimi una save zaidi ya 90% ya 'mshahara' wako
Alikuwa analipwa akasema mshahara hautoshiMimi ni job seeker. Utanilinganishaje na Anna makinda?!
Mimi sina mshahara lakini naishi Dar vizuri tuTafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu.
Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?!
Ahsante.
mkuu nilimaanisha, 90% atatumia kwa 'mbunye', ya 10% ndiyo ya kwake ,Apate 300,000 na saving iwe 270,000!! Matumizi kwa mwezi 30,000 meaning
- Hali dinner assuming anapewa chakula kazini
- Hanywi maji
- Hanunui sabuni
- Hanunui mafuta ya kujipaka
- Hanunui vocha ya simu
- Hanunui mshumaa
- Nauli
Mshumaa wa nini tenaaApate 300,000 na saving iwe 270,000!! Matumizi kwa mwezi 30,000 meaning
- Hali dinner assuming anapewa chakula kazini
- Hanywi maji
- Hanunui sabuni
- Hanunui mafuta ya kujipaka
- Hanunui vocha ya simu
- Hanunui mshumaa
- Nauli
Hahahaa hahahaaaa daahUtaishi tena maisha ya amani sanaaa, kuliko hata mwenye take home ya zaidi ya 5k aloko dsm
nakutabiria utatoboa maisha hadi utakuja kutuelimishaaa
pia anzisha kabiashara ka kuuza karanga apo utakapoishi na nyingine peleka ofisini wauzie wenzioo ... kg = 3500 (brand nzurii) ukifunga kwa mifuko na kuongeza thamani kwenye kg 1 utapata faida ya buku 2.
2000*21 (siku za kazi) = 40,000 --- hiii inakutosha matumizi madogomadogo
hahaaaa welcome bongo landiii