mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 1,053
- 1,199
Hili nakaziakama ni kiboro dinda iyo mb<><> weka kufuli
utakula mawe, Dar totoz kila kona, pesa yako tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nakaziakama ni kiboro dinda iyo mb<><> weka kufuli
utakula mawe, Dar totoz kila kona, pesa yako tu
Wewe ni jinsia gani kwanza?Tafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu.
Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?!
Ahsante.
Hewa ya Oxygen si ni bure Mkuu au ninyi wenzetu huko mnalipia?.Unaish bila wasi ila kaish mbagala, kkoo na mansense na jitahd umilik baiskel kwajili ya harakat za hapa na pale ilikupunguz nauli hapa na pale ili ukishi kitajili hapo perday yako n 10,000/- kama kaz yako itakuw haina posho
Karbu sana jijin kila ktu kipo kasoro cha Buree
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Nyege zinanimaliziaga sana pesa.Naomba MUNGU anijalie nguvu ya kuzishinda.ukiweza ku dhibiti 'nyege' niamini mimi una save zaidi ya 90% ya 'mshahara' wako
🤣 ugonjwa wa wengi huoNyege zinanimaliziaga sana pesa.Naomba MUNGU anijalie nguvu ya kuzishinda.
unaishi izuri sanaTafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu.
Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?!
Ahsante.
inategemeana na unakaa wapi.Pango na Usafiri.
Unajua jinsia yake ?bila shaka unasikiasikia story za kidimbwi,juliana, next door, 777, nk basi usisogee kabisa hayo maeneo....
Dar ni sehemu rahisi sana kuishi ila inategemea na wewe mwenyewe tu uchaguzi wako...
tafuta chumba cha 30k ishi kibaharia tu godoro chini...hakuna mbwembwe...
piga kaza mwaka nunua bodaboda...muda wako wa ziada kamata vichwa....hiyo hiyo unaenda nayo job unakula vichwa.....nina hakika kwa formula hiyo ndani ya 5yrs utakuwa sio wewe..
Unaishi kiusanii sanii[emoji1]Mimi sina mshahara lakini naishi Dar vizuri tu
Hahahah unatumia lahaja mkuu.Unaishi kiusanii sanii[emoji1]
Mtoa mada usifat ushauri huuMimi sina mshahara lakini naishi Dar vizuri tu
Dar kuna maisha ya level tofauti, inategemea unataka maisha ya level gani.Tafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu.
Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?!
Ahsante.
Shukrani sana mkuuUtaishi tena maisha ya amani sanaaa, kuliko hata mwenye take home ya zaidi ya 5k aloko dsm
nakutabiria utatoboa maisha hadi utakuja kutuelimishaaa
pia anzisha kabiashara ka kuuza karanga apo utakapoishi na nyingine peleka ofisini wauzie wenzioo ... kg = 3500 (brand nzurii) ukifunga kwa mifuko na kuongeza thamani kwenye kg 1 utapata faida ya buku 2.
2000*21 (siku za kazi) = 40,000 --- hiii inakutosha matumizi madogomadogo
hahaaaa welcome bongo landiii
Vyumba vya Elfu 30 vinapatikana upande gani Dar?!bila shaka unasikiasikia story za kidimbwi,juliana, next door, 777, nk basi usisogee kabisa hayo maeneo....
Dar ni sehemu rahisi sana kuishi ila inategemea na wewe mwenyewe tu uchaguzi wako...
tafuta chumba cha 30k ishi kibaharia tu godoro chini...hakuna mbwembwe...
piga kaza mwaka nunua bodaboda...muda wako wa ziada kamata vichwa....hiyo hiyo unaenda nayo job unakula vichwa.....nina hakika kwa formula hiyo ndani ya 5yrs utakuwa sio wewe..
Ahsante kwa ushauri mkuuMimi Mshahara wangu hauna kima maalum unacheza 160,000 mpaka 180,000.
Naishi sio vizuri ila mambo yangu yanaenda naishi na kufanya Saving vizuri, na save mpaka 100,000 na hii ndio ajira yangu ya kwanza na nategemea iwe ajira yangu ya mwisho, mapaka mwezi wa nne nategemea kuwekeza Biashara ya mtaji wa 1.3M ...I mean ninauwezo mkubwa wa kupata mtaji na kuyafanya mitikasi kibao.
Wakina sie tuliowai kuishi bila kuingiza 100 kwa siku 170,000 inatosha sana.