Je, Naweza kuishi Dar kwa mshahara wa laki tatu?

Wewe ni jinsia gani kwanza?
 
Hewa ya Oxygen si ni bure Mkuu au ninyi wenzetu huko mnalipia?.
 
Unajua jinsia yake ?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Dar kuna maisha ya level tofauti, inategemea unataka maisha ya level gani.
Kuna watu wanaishi kwa mshahara wa 100000 na wameoa na wana watoto.
 
Shukrani sana mkuu
 
Vyumba vya Elfu 30 vinapatikana upande gani Dar?!
 
Ahsante kwa ushauri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…