Kituko JF-Expert Member Joined Jan 12, 2009 Posts 9,555 Reaction score 9,357 Apr 19, 2013 #21 Mamndenyi said: Mmmmh unakoenda siko. Click to expand... Nimeipenda sana hiyo kauli
Papaa Kinyani JF-Expert Member Joined Feb 25, 2013 Posts 1,459 Reaction score 699 Apr 19, 2013 #22 SWEET GIRL said: Wadau habari hapa jamvini Mimi nauliza swali je mtu anaetumia ARV anaweza kugundulika kwa dalili zipi?? Click to expand... Hii thread haina maana wewe tafuta wako mkapime muanze kula vitu, uaminifu ukiwa kipaumbele, achana na mawazo mgando ya kunyanyapaa watu!!
SWEET GIRL said: Wadau habari hapa jamvini Mimi nauliza swali je mtu anaetumia ARV anaweza kugundulika kwa dalili zipi?? Click to expand... Hii thread haina maana wewe tafuta wako mkapime muanze kula vitu, uaminifu ukiwa kipaumbele, achana na mawazo mgando ya kunyanyapaa watu!!
appoh JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 5,262 Reaction score 2,184 Apr 21, 2013 #23 unataka kunijua ili unitangazee sio
Unga wa Kitarasa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 398 Reaction score 101 May 7, 2013 #24 SWEET GIRL said: Wadau habari hapa jamvini Mimi nauliza swali je mtu anaetumia ARV anaweza kugundulika kwa dalili zipi?? Click to expand... wanamuandiko kama wako....:mvutaji:
SWEET GIRL said: Wadau habari hapa jamvini Mimi nauliza swali je mtu anaetumia ARV anaweza kugundulika kwa dalili zipi?? Click to expand... wanamuandiko kama wako....:mvutaji:
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,816 May 7, 2013 #25 hippocratessocrates said: Kuna watu wanaweza kuwa na Cushing syndrome na hivyo kuwa na kibiongo (Buffalo torso), hivyo si sababu tosha ya kusema mtu anatumia dawa za ARV. Click to expand... Kwa hiyo wale wanyanyua vitu vizito na wanamieleka wanatumia ARV?
hippocratessocrates said: Kuna watu wanaweza kuwa na Cushing syndrome na hivyo kuwa na kibiongo (Buffalo torso), hivyo si sababu tosha ya kusema mtu anatumia dawa za ARV. Click to expand... Kwa hiyo wale wanyanyua vitu vizito na wanamieleka wanatumia ARV?
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,816 May 7, 2013 #26 Utamjua tu kwa udodosaji wa habari kama hizi.