Je naweza kumjua mtu anaetumia arv

Je naweza kumjua mtu anaetumia arv

Wadau habari hapa jamvini
Mimi nauliza swali je mtu anaetumia ARV anaweza kugundulika kwa dalili zipi??

Hii thread haina maana wewe tafuta wako mkapime muanze kula vitu, uaminifu ukiwa kipaumbele, achana na mawazo mgando ya kunyanyapaa watu!!
 
Back
Top Bottom