Je naweza kupandikiziwa korodani (P"mbu) mpya

Mhhhh kama sijakupata vzur vile...OK shukran
 
Pole sana kwake, sasa kwa nijuacho korodani haitakiwi kukaa juu kwa sababu ya jotoridi lililoko huko juu kwa sababu ya joto zinaharibika.
Labda apate ushauri kutoka experts wa masuala hayo ya urology etc ili wampe technical concepts

Poleni sana sana
Asante
 
Duuuuh Hatari....!!!!
 
Sasa hata km inawezekana hizo pumbu anazitoa wapi??maana kila mtu aliemzima anakazi nazo.daah pumbu hivi unazitoa wapi??poleni sana
 
Sasa hata km inawezekana hizo pumbu anazitoa wapi??maana kila mtu aliemzima anakazi nazo.daah pumbu hivi unazitoa wapi??poleni sana
Mi nilidhan zinaweza kuwepo maana kuna Operations za ,kizazi kwa mwanamke nikafahamu na Mme anaweza badilisha pumb...
 
Sasa hata km inawezekana hizo pumbu anazitoa wapi??maana kila mtu aliemzima anakazi nazo.daah pumbu hivi unazitoa wapi??poleni sana
Ata za MTU aliyekufa siyo mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…