Uwe unatembelea gsmarena.comHabari waungwana!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Nahitaji kutumia huduma ya E-sim ambayo siku hizi makampuni yetu ya huduma za mawasiliano yameileta nchini.
Je, kwa simu aina ya samsung A04 ina support kupata huduma hii? Nimeona nije kwa wajuzi wa haya mambo.
Karibuni kwa msaada tafadhari!
Anazungumizia Latest version (Toleo jipya) huwenda ikawa na E SIMSio rahisi maana ni simu ya kawaida sana nimeitumia.
Hata A05 ambayo ni mpya haina. Nimetumia A04, 04e, 04S zote ni za kawaida sana hazina.Anazungumizia Latest version (Toleo jipya) huwenda ikawa na E SIM
Sawa sasa tumshauri ananunue simu ya aina GANI yenye E-SIM kwa bajeti aliyonayoHata A05 ambayo ni mpya haina. Nimetumia A04, 04e, 04S zote ni za kawaida sana hazina.
Sawa sasa tumshauri ananunue simu ya aina GANI yenye E-SIM kwa bajeti aliyonayo
Kujua kama ina e sim bonyeza *#06#Habari waungwana!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Nahitaji kutumia huduma ya E-sim ambayo siku hizi makampuni yetu ya huduma za mawasiliano yameileta nchini.
Je, kwa simu aina ya samsung A04 ina support kupata huduma hii? Nimeona nije kwa wajuzi wa haya mambo.
Karibuni kwa msaada tafadhari!
Nina s9 na ina e simAtafute S23utra ikiwa mpya kabisa Anapata Huduma ya E sim
S/N ni serial number..mkuu?Kujua kama ina e sim bonyeza *#06#
Yako basi haina,inakuletea taarifa 3 ikiwemo hio snS/N ni serial number..mkuu?
Nimebonyeza hiyo namba, mwishoni nimekutana na s/n
Orodha ikoje mimi natumia note 20 5G je ipo kwenye orodhaNashukuru, nishawasiliana na Samsung wakanitumia orodha ya aina ya simu zao zenye mfumo huo.
Orodha ikoje mimi natumia note 20 5G je ipo kwenye orodhaNashukuru, nishawasiliana na Samsung wakanitumia orodha ya aina ya simu zao zenye mfumo huo.
OkGalaxy
Kama ni Galaxy S20 Plus
Galaxy 20U1tra hizo zina support
yangu mkuu imeleta imei 1, imei 2 na psn apo nitajuaje kama inasuport e simS/N ni serial number..mkuu?
Nimebonyeza hiyo namba, mwishoni nimekutana na s/n