Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Habari zenu wana jf.Niende kwenye mada ni hivi sina uwezo wa kukumbuka watu wangu wa karibu
Mimi nimesoma shule ya msingi makumbusho(2006)nimehitim lakini hakuna hata rafiki yangu mmoja ninayemkumbuka japo kuwa wao wananikumbuka na kuni call Mara kwa Mara.Elimu ya secondary nimemaliza mwaka(2010) Jamhuri dar sec school lakini hakuna ninayemkumbuka Kati ya wanafunzi niliomaliza nao.Advance nimesoma Benjamin sec school lakini nako tatizo ni hilo hilo linajirudia.
Nimemaliza elimu ya chuo hapo udsm lakini hakuna mtu wangu wa karibu ninayemkumbuka.Yaani hata mtaani wale niliocheza nao utotoni siwakumbuki kabisa mi nahisi naweza nikawa na tatizo lakini silijuwi.
Kibaya zaidi hata viongozi wangu wa nchi siwajuwi kwa majina na wadhifa wao katika nchi.
Je kwa maelezo hayo naweza kuwa na matatizo,kama ninayo ni yapi na yanatibika.Naomba ushauri wenu Matusi na kebehi havina nafasi
Mimi nimesoma shule ya msingi makumbusho(2006)nimehitim lakini hakuna hata rafiki yangu mmoja ninayemkumbuka japo kuwa wao wananikumbuka na kuni call Mara kwa Mara.Elimu ya secondary nimemaliza mwaka(2010) Jamhuri dar sec school lakini hakuna ninayemkumbuka Kati ya wanafunzi niliomaliza nao.Advance nimesoma Benjamin sec school lakini nako tatizo ni hilo hilo linajirudia.
Nimemaliza elimu ya chuo hapo udsm lakini hakuna mtu wangu wa karibu ninayemkumbuka.Yaani hata mtaani wale niliocheza nao utotoni siwakumbuki kabisa mi nahisi naweza nikawa na tatizo lakini silijuwi.
Kibaya zaidi hata viongozi wangu wa nchi siwajuwi kwa majina na wadhifa wao katika nchi.
Je kwa maelezo hayo naweza kuwa na matatizo,kama ninayo ni yapi na yanatibika.Naomba ushauri wenu Matusi na kebehi havina nafasi