nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 861
Wewe umesoma kila kilichowekwa humu?Soma hizo hapo, tatizo hatusomi, tuna kila sababu ya kusumbuliwa kwa kua hatusomi
Nimecheck niko vzr,hivyo napingana na wewekuwa lisemwalo lipo,na wewe ni SHOGA basi,haya lisemwalo lipo yako itathimini hapo
Asante kiongozi kwa ushauri wakoPole mkuu, nenda vodashop wakusikilize zaidi
poa poa
Sijawahi kuchangia damu hata siku moja mzee,hili linanishanhaza sana!!Kama umewahi kuchangia damu ni kawaida sana itakuwa damu yako walikuta ina problems
blame no body
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23] [emoji23]Nimecheck niko vzr,hivyo napingana na wewekuwa lisemwalo lipo,na wewe ni SHOGA basi,haya lisemwalo lipo yako itathimini hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
nenda hospitali uliyopima mara ya mwisho karudie vipime, huwezi jua ila ishi kwa matumaini. pengine watu wasiojulikani ni chanzo cha hiliMbona mimi natumia voda na sipati hizo SMS
Nenda hospitali unayochukulia ARVs ndio wamepeleka taarifa zako Voda ili wakukumbushe mara kwa mara ili usisahau kunywa dawa
Pole mkuu fuata ushauri wa daktari
SMS zote zitokazo vodacom huwa unazipata,unauhakika gani kuwa ninatumia ARV?au unajibu tu kwavile unaakaunti humu jf?Mbona mimi natumia voda na sipati hizo SMS
Nenda hospitali unayochukulia ARVs ndio wamepeleka taarifa zako Voda ili wakukumbushe mara kwa mara ili usisahau kunywa dawa
Pole mkuu fuata ushauri wa daktari
Usipende kuleta mizaha humu mbuzi wewenenda hospitali uliyopima mara ya mwisho karudie vipime, huwezi jua ila ishi kwa matumaini. pengine watu wasiojulikani ni chanzo cha hili