Ref: Ney wa mitego, amkeniTz akili ndogo inaongoza akili kubwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ref: Ney wa mitego, amkeniTz akili ndogo inaongoza akili kubwa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732]Sifa za kuwa Waziri -TZ
Elimu darasa la saba
Ujue kusoma na kuandika
Ugombee Ubunge wa jimbo ushinde na utangazwe na Tume ya Uchaguzi
Uwe na kipaji cha kuongea, kusifu na kuabudu.
Mengine utajifunzia huko huko wizarani.
Professor wa jalalani mnywa chachandu ya kutibu Uviko na aliyemuita bwana yule mheshimiwa Mungu naye alisoma Civics? Si ndio waasisi wa machawa hao.Chawa ni Kizazi cha akina Mwijaku ambao wamesoma Civics
Kwa miaka aliosoma nape kulikuwa Na civicsCivics ilikuja baada ya Kufutwa Somo la Siasa
Rwanda sio.nchi masikini mkuu ungesema burundi ningekubaliLakini bado Rwanda ni masikini
Wazazi wao ndiyo walisoma siasa wakawaambukiza ujinga watoto wao kina MwijakuChawa ni Kizazi cha akina Mwijaku ambao wamesoma Civics
Tatizo ndiyo lipo hapaTz akili ndogo inaongoza akili kubwa!
Waziri mjinga haswaNi kweli. Nilisikia ule mdahalo wa waziri na mwandishi wa habari majibu yalikuwa ni ya kupaza sauti zaidi kuliko mantiki. Waziri anaulizwa haoni kama Serikali ndiyo sababishi ya kubuni Makamu wa Rais aliko? Yeye haoni hilo wala hajibu. Anasema Serikali ndiyo ilijua Makamu wa Rais alipo lakini amesahau kuwa Serikali hiyo inawajibika kwa wananchi. Na kama Serikali ingekuwa inaundwa kutokana na uchaguzi wa haki na kweli Serikali hiyo haingekuwa na kiburi hicho cha Wazir. Hapo ndipo tatizo lilipo.
Ndiyo kazi yao kubwa hawana jingineTofautisha kati ya mawaziri wa nchi zinazojitambua, na machawa wa kijani. Machawa wa kijani Kwao ueledi ni mwiko, kazi ya mawaziri wa huko Cuban ni kusifu na kutukuza aliyewachagua.
Iko 50/50Waliosoma somo la siasa ndiyo ambao wamezaa kizazi cha wajinga kinachoendekeza uchawa na kujipendekeza. Ambao wengi wamezaliwa 70's, 80's na 90's wakiwa na umri kati ya 30-50.
Somo la siasa lilikuwa ni Indoctrination ya siasa ya ujamaa ambayo imeacha ulemavu wa kudumu kwenye akili za waliolisoma. Hao nao effects imeenda hadi kwa kizazi chao. Itachukua muda mrefu kufuta ujinga uliowaingia wao na watoto wao wote waliosoma siasa.
Tusubiri kizazi cha waliozaliwa 2000's labda wataiponya nchi
Angalia measures zote utaona, usitumie hisiaRwanda sio.nchi masikini mkuu ungesema burundi ningekubali
Shida ya hapa kwetu CCM imegeuza nchi mali ya kikundi fulani cha watu. Kinachozingatiwa ktk teuzi kwanza ni uchawa kwa viongozi, chama bila kusahau eneo unalotoka, dini na maslahi ya nchi ni jambo la mwisho.Ameandika Martin Maranja Masese.
Kiumbe ambaye CIVICS kidato cha nne alicheza na mswaki (F) anawezaje kuwa waziri wa kushughulika na masuala nyeti ya teknolojia, Habari na mawasiliano? Hatupo ‘siriazi’ kabisa wanetu.
Paula Ingabire ni Waziri wa Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Ubunifu, kachapa University of Rwanda (B.S.) na Massachusetts Institute of Technology (M.S.)
Paula akiwa Massachusetts Institute of Technology (MIT) alikuwa Mfanyakazi wa Ubunifu na Usimamizi wa Mifumo. Rwanda wamemfanya kuwa Waziri wao wa Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Ubunifu
Paula Ingabire pia alifanya kazi kama mratibu wa Smart Africa, mpango ambao unalenga kuimarisha miundombinu ya broadband kuendesha uchumi wa kijamii na kiuchumi barani Afrika.
Kabla ya kuteuliwa, Paula Ingabire alikuwa Mkuu wa mpango wa Kigali Innovation City. Kabla ya hapo, alishika wadhifa wa Mkuu wa ICT katika Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB)
Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB), ni idara ya serikali inayounganisha mashirika yote ya serikali yenye jukumu la kuvutia, kuhifadhi na kuwezesha uwekezaji katika uchumi wa taifa.
Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB) wanahusika; usajili wa biashara, uhamasishaji uwekezaji, uidhinishaji wa mazingira, ubinafsishaji, utalii, SMEs na ukuzaji wa uwezo wa watu katika sekta binafsi.
Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB) hupima mafanikio yake katika (a) uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni na ndani, (b) kuongezeka kwa mauzo ya nje na (c) idadi ya nafasi za kazi zilizoundwa.
Unaiona ile Visit Rwanda? Ndiyo kazi ya Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB). Wamesaini mkataba na Arsenal, Paris Saint-Germain, Basketball Africa League (BAL), Fußball-Club Bayern München, AFL.
Ukifungua portfolio ya Paula Ingabire inakueleza ni mtaalamu wa teknolojia na mwanasiasa kutoka Rwanda. Sasa fungua portfolio ya Waziri wako wa Teknolojia. Utakutana na BUMUNDA. INAKERA!
Lakini wanetu, kama nawakwaza, semeni..…
View attachment 2840140
Brigedia Mtikila, MMM.
Hawa waliozaliwa 2000 na kuendelea ndiyo bure kabisa kama hujui.Waliosoma somo la siasa ndiyo ambao wamezaa kizazi cha wajinga kinachoendekeza uchawa na kujipendekeza. Ambao wengi wamezaliwa 70's, 80's na 90's wakiwa na umri kati ya 30-50.
Somo la siasa lilikuwa ni Indoctrination ya siasa ya ujamaa ambayo imeacha ulemavu wa kudumu kwenye akili za waliolisoma. Hao nao effects imeenda hadi kwa kizazi chao. Itachukua muda mrefu kufuta ujinga uliowaingia wao na watoto wao wote waliosoma siasa.
Tusubiri kizazi cha waliozaliwa 2000's labda wataiponya nchi
Una uhakika na unachoongea au stress zinakusumbua. Hiki kizazi cha machawa ni cha lini.Waliosoma somo la siasa ndiyo ambao wamezaa kizazi cha wajinga kinachoendekeza uchawa na kujipendekeza. Ambao wengi wamezaliwa 70's, 80's na 90's wakiwa na umri kati ya 30-50.
Somo la siasa lilikuwa ni Indoctrination ya siasa ya ujamaa ambayo imeacha ulemavu wa kudumu kwenye akili za waliolisoma. Hao nao effects imeenda hadi kwa kizazi chao. Itachukua muda mrefu kufuta ujinga uliowaingia wao na watoto wao wote waliosoma siasa.
Tusubiri kizazi cha waliozaliwa 2000's labda wataiponya nchi
Huyu wa kweli tumepata hasara taslimuAmeandika Martin Maranja Masese.
Kiumbe ambaye CIVICS kidato cha nne alicheza na mswaki (F) anawezaje kuwa waziri wa kushughulika na masuala nyeti ya teknolojia, Habari na mawasiliano? Hatupo ‘siriazi’ kabisa wanetu.
Paula Ingabire ni Waziri wa Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Ubunifu, kachapa University of Rwanda (B.S.) na Massachusetts Institute of Technology (M.S.)
Paula akiwa Massachusetts Institute of Technology (MIT) alikuwa Mfanyakazi wa Ubunifu na Usimamizi wa Mifumo. Rwanda wamemfanya kuwa Waziri wao wa Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Ubunifu
Paula Ingabire pia alifanya kazi kama mratibu wa Smart Africa, mpango ambao unalenga kuimarisha miundombinu ya broadband kuendesha uchumi wa kijamii na kiuchumi barani Afrika.
Kabla ya kuteuliwa, Paula Ingabire alikuwa Mkuu wa mpango wa Kigali Innovation City. Kabla ya hapo, alishika wadhifa wa Mkuu wa ICT katika Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB)
Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB), ni idara ya serikali inayounganisha mashirika yote ya serikali yenye jukumu la kuvutia, kuhifadhi na kuwezesha uwekezaji katika uchumi wa taifa.
Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB) wanahusika; usajili wa biashara, uhamasishaji uwekezaji, uidhinishaji wa mazingira, ubinafsishaji, utalii, SMEs na ukuzaji wa uwezo wa watu katika sekta binafsi.
Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB) hupima mafanikio yake katika (a) uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni na ndani, (b) kuongezeka kwa mauzo ya nje na (c) idadi ya nafasi za kazi zilizoundwa.
Unaiona ile Visit Rwanda? Ndiyo kazi ya Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB). Wamesaini mkataba na Arsenal, Paris Saint-Germain, Basketball Africa League (BAL), Fußball-Club Bayern München, AFL.
Ukifungua portfolio ya Paula Ingabire inakueleza ni mtaalamu wa teknolojia na mwanasiasa kutoka Rwanda. Sasa fungua portfolio ya Waziri wako wa Teknolojia. Utakutana na BUMUNDA. INAKERA!
Lakini wanetu, kama nawakwaza, semeni..…
View attachment 2840140
Brigedia Mtikila, MMM.