Je, ndio wakati wa Ally Hapi kurudi kwenye ulingo wa siasa?

Je, ndio wakati wa Ally Hapi kurudi kwenye ulingo wa siasa?

Jf moderators hamjautendea haki Uzi wangu..je kwanini mmebadilisha kichwa cha habari?cha Uzi wangu
 
Jamaa kwa Calibre yake ile labda aflex kidogo kuendana na mfumo wa sasa wa tumsifu mwenyekiti 😂 au kula ubuyu kama simbachawene! Akianza tu na style ya jerry slaa anatupwa nje tena.
 
Kijana makini sana kwenye uongozi.
Umakini wake ni upi? Chawa Tu huyu wote walikuwa wanajipendekeza Kwa jiwe.

Kwanza wamefanya haraka kumrudisha kundini wangemuacha Kwanza apate Joto ya jiwe vizuri.
 
Awaombe kwanza msamaha wahafidhina wote wa chama, aliowatukana hadharani kipindi kile cha Jiwe.
Ashaomba sana msamaha, ashalia sana na ashapiga magoti sana. Ndiyo maana karudishwa. Na karipio kali kapewa.

Hutamuona tena Ali Hapi akikunja ndita akiwa anaongea kuanzia Sasa.
 
Back
Top Bottom