Je, Ndugu zetu wanaokula fungo wanazingatia mila zao au ni kutokana na uhaba wa nyama?

Je, Ndugu zetu wanaokula fungo wanazingatia mila zao au ni kutokana na uhaba wa nyama?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Je Ndugu zetu wanaokula fungo wanazingatia mila zao au ni kutokana na uhaba wa nyama?

Wadau hamjamboni nyote?

Nimeleta hoja hii muhimu nilitarajia majibu yasiyo na kero wala karaha

Nauliza kuwa wale ndugu zetu wanaokula yule mnyama mwenye harufu kali ya kuchefua aendaye kwa jina la fungo

Je, ulaji huo?

Unazingatia mila na desturi zao?
Unatokana na uhaba au ukosefu wa nyama?

Unachangiwa na upagani?

Na je kuna madhara yeyote pia ya kiafya kwa matumizi ya nyama hiyo?

Karibuni wenye elimu na uzoefu mtujuze

Lugha zisizo na staha hazikubaliki

Usiku mwema
 

Attachments

  • Civet.jpeg
    Civet.jpeg
    35.2 KB · Views: 5
  • 98px-African_civet.jpg
    98px-African_civet.jpg
    5.2 KB · Views: 6
Je Ndugu zetu wanaokula fungo wanazingatia mila zao au ni kutokana na uhaba wa nyama?

Wadau hamjamboni nyote?

Nimeleta hoja hii muhimu nilitarajia majibu yasiyo na kero wala karaha

Nauliza kuwa wale ndugu zetu wanaokula yule mnyama mwenye harufu kali ya kuchefua aendaye kwa jina la fungo

Je, ulaji huo?

Unazingatia mila na desturi zao?
Unatokana na uhaba au ukosefu wa nyama?

Unachangiwa na upagani?

Na je kuna madhara yeyote pia ya kiafya kwa matumizi ya nyama hiyo?

Karibuni wenye elimu na uzoefu mtujuze

Lugha zisizo na staha hazikubaliki

Usiku mwema
Kwani vp. Ulisikia kwamba waliokula walidhurika kiafya?? Kama ww hauli hiyo nyama basi tulia acha kuwapigia kelele walaji. Nyama ya fungo ni tamu kuliko ya mbuzi au kitimoto :02Hype:
 
Back
Top Bottom