Je, neno 'Mashiko' ni neno sahihi na iko kwenye kamusi?

Je, neno 'Mashiko' ni neno sahihi na iko kwenye kamusi?

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Nimekuwa nikifuatilia kesi ya Ndugu Mbowe na wenzake lakini mara nyingi Mawakili wa Serikali wakitaka kupinga hoja za Mawakili wa utetezi utasikia wakisema kuwa hoja hii HAINA MASHIKO.

Sasa nauliza je neno hili ni neno sahihi kwa matumizi yetu ya kila siku na ipo kwenye kamusi ya kiswahili?

Vinginevyo tutumie kiswahili sahihi katika shughuli zetu za kila siku.
 
Nimekuwa nikifuatilia kesi ya Ndugu Mbowe na wenzake lakini mara nyingi Mawakili wa Serikali wakitaka kupinga hoja za Mawakili wa utetezi utasikia wakisema kuwa hoja hii HAINA MASHIKO.

Sasa nauliza je neno hili ni neno sahihi kwa matumizi yetu ya kila siku na ipo kwenye kamusi ya kiswahili?

Vinginevyo tutumie kiswahili sahihi katika shughuli zetu za kila siku.


Wewe unataka neno lipi litumike??!!
 
Yah neno mashiko nineno la kiswahili fasaha kuna neno mashiko na mantiki ni maneo mawili tofaut ila yenye maana inayo fanana tofuti yke kwenye matumizi tu mf hili jambo tunalo jadili halina mantiki yeyote kwenye maisha yetu maana yake halina faida,tija na kwakukazia hilina Mashiko
 
Back
Top Bottom