sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nauliza hili swali niweze kupata viewpoint yenu maana kuna baadhi ya watu nawashangaa wanasema watoto wameaibisha wazazi wao ila mimi naona hawapo sawa kwasababu kazi hazirithishwi, Nyie mnaona vp?
baba alikuwa ni engineer shirika kubwa tu, Mama alikuwa ni Muhasibu taasisi flani ya mambo ya mapato, Wazazi wote wameshastaafu. Wazazi walikuwa poa kiuchumi maana kila mtoto alipomaliza form 6 alipewa gari kasoro moja tu ambae shule ilimshinda.
Watoto wapo wanne.
Mtoto wa kwanza wa kasoma engineering ila kazi ni changamoto zimemfanya afungue kibanda umiza.
Mtoto wa pili kasomea procurement ila kazi kakosa kaolewa, ni mama wa nyumbani
Mtoto wa tatu shule ilimshinda kaamua awe fundi matairi ya scania, biashara iko poa hakosi laki kwa siku.
Mtoto wa mwisho wa mwisho kasomea uhasibu lakini kafungua mgahawa wake mtaani ni mama ntilie.
baba alikuwa ni engineer shirika kubwa tu, Mama alikuwa ni Muhasibu taasisi flani ya mambo ya mapato, Wazazi wote wameshastaafu. Wazazi walikuwa poa kiuchumi maana kila mtoto alipomaliza form 6 alipewa gari kasoro moja tu ambae shule ilimshinda.
Watoto wapo wanne.
Mtoto wa kwanza wa kasoma engineering ila kazi ni changamoto zimemfanya afungue kibanda umiza.
Mtoto wa pili kasomea procurement ila kazi kakosa kaolewa, ni mama wa nyumbani
Mtoto wa tatu shule ilimshinda kaamua awe fundi matairi ya scania, biashara iko poa hakosi laki kwa siku.
Mtoto wa mwisho wa mwisho kasomea uhasibu lakini kafungua mgahawa wake mtaani ni mama ntilie.