Je, ni biashara ipi inalipa zaidi?

Je, ni biashara ipi inalipa zaidi?

Biashara inayo lipa ni kutumia brain tuu.

Ukiangalia katika biashara ulizo zitaja tapo juu zote ni biashara ambazo zina mamilionea walio wahi kutoboa kutokana na biashara hizo chakufanya chagua biashara moja wapo ya hizo harafu invest vitu hivi:

1. Time
2. Money
3. Tafuta location nzuri
4. Acha biashara ijiendeshe usiweke dhiki zako kwenye biashara

Cha mwisho deal na rotation Kama Leo unapata hela ya kula hakikisha kesho inaongezeka hata Kama kwa udogo kesho hela ya pango, utapata hela ya biashara ya ku backup biashara uliyonayo utapata hela ya kujenga na kununua ndinga pia.

Usidharau biashara simamia misingi ukisimaia misingi Unaweza kuuza maji kwenye visima, unaweza kuuza mawe migodini.

Huoni mvua inanyea chemchem.
 
Uwe mbunifu sana ili uwashike hao walevi kwa muda mrefu zaidi, vinginevyo biashara ya bar ndio ambayo inaongoza zaidi kwa kufa kifo kisichoeleweka.
Nataka nimuige yule boss wa Star Park Morogoro au Miami ya Iringa.

Nitakuwa naweka na Live Band weekend na kuweka sehemu kubwa ya dancing floor

Kuhusu wahudumu nitakuwa naleta na zile Pisi Kali za Rwanda ili niwashike na wanywaji wa Hapa Jamii Forums 🤪
 
Kuna
  • Restaurant
  • Saloon ya kike na ya kiume
  • Duka la nguo
  • Duka la nafaka
  • Bar
  • Duka la mangi

Katika biashara hizo ni ipi inalipa zaidi?
Mawazo ya kawaida kama haya hayawezi kukulipa kamweee kila mtu yani kama watu mmelogwa akitaka kufungua biashara anawaza biashara hizo ulizotaja ukiongeza na kibanda cha mpesa na duka la viatu.
 
Mawazo ya kawaida kama haya hayawezi kukulipa kamweee kila mtu yani kama watu mmelogwa akitaka kufungua biashara anawaza biashara hizo ulizotaja ukiongeza na kibanda cha mpesa na duka la viatu.
Umeongea point kubwa sana mkuu
Wabongo tunafeli kwenye kufanya biashara yeboyebo ya kuigana bila kuumiza kichwa

Pamoja na mimi kufanya mojawapo ya biashara alizozitaja mdau hapo juu ila naona wengi wanafanya bila kuumiza vichwa ya mfumo mpya wa kufanya hiyo biashara mpaka atoboe
 
Mawazo ya kawaida kama haya hayawezi kukulipa kamweee kila mtu yani kama watu mmelogwa akitaka kufungua biashara anawaza biashara hizo ulizotaja ukiongeza na kibanda cha mpesa na duka la viatu.

Mawazo yako ni muhimu, ipi ni biashara nzuri
 
Sio wengi sana kwa wakati mmoja watu 100 wanaweza kukaa
Hongera sana Mkuu, kama unalaza elfu 50 kwa siku kama faida ina maana umepishana kidogo na Mshahara wa Mkuu wa Wilaya.

Wacha nami niingie huko kuzisaka hizo hela
 
We hakikisha malaya wanaipenda bar yako, ndo wanaleta wateja hao. Chunguza vizuri uone.
Haha......kumbe ndiyo iko hivyo.

Nataka kuwaweka na wahudumu kadhaa wa kutoka Rwanda, ili nipate na wateja kutoka hapa JF 🤗
 
Umeongea point kubwa sana mkuu
Wabongo tunafeli kwenye kufanya biashara yeboyebo ya kuigana bila kuumiza kichwa

Pamoja na mimi kufanya mojawapo ya biashara alizozitaja mdau hapo juu ila naona wengi wanafanya bila kuumiza vichwa ya mfumo mpya wa kufanya hiyo biashara mpaka atoboe
Biashara mpya amna lakini kinachohitajika ni innovation mkuu na kujua ufanye nini kiuzike....
 
Mawazo ya kawaida kama haya hayawezi kukulipa kamweee kila mtu yani kama watu mmelogwa akitaka kufungua biashara anawaza biashara hizo ulizotaja ukiongeza na kibanda cha mpesa na duka la viatu.
Sasa kutoa maelezo bila kushauri namna nzuri si ndio ujuha wenyewe.
Unaponda halafu ushauri.
 
Kuna
  • Restaurant
  • Saloon ya kike na ya kiume
  • Duka la nguo
  • Duka la nafaka
  • Bar
  • Duka la mangi

Katika biashara hizo ni ipi inalipa zaidi?
Biashara haramu yyte inalipa izo azilipi ulizotaja
 
Back
Top Bottom