Je, ni bora uwe kwenye mahusiano na mtu unayempenda lakini humwamini au unayemwamini lakini humpendi?

Je, ni bora uwe kwenye mahusiano na mtu unayempenda lakini humwamini au unayemwamini lakini humpendi?

sawa utaleta mrejesho na usiwe na expectations kubwa sana utakuwa disappointed...

Wala sina high expectations nshawazoea watoto wa farao [emoji23][emoji23][emoji23] ila trust me hata kama sio kwang ntakuletea ushuhuda hata wa jirani yangu
 
Wala sina high expectations nshawazoea watoto wa farao [emoji23][emoji23][emoji23] ila trust me hata kama sio kwang ntakuletea ushuhuda hata wa jirani yangu

I swear to God, I am waiting for that, Tuombe uzima, and i wish you all the best, ukifanikiwa just hit my dm and let me know whatsup, I always wish people the best, na angalia usiwe selective sana sababu hiyo pia ndio inawacost wanawake wengi..[emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534]
 
I swear to God, I am waiting for that, Tuombe uzima, and i wish you all the best, ukifanikiwa just hit my dm and let me know whatsup, I always wish people the best, na angalia usiwe selective sana sababu hiyo pia ndio inawacost wanawake wengi..[emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asante
 
Mmhh binafsi hivi vitu naona kama vinashabihiana! Hapo ni sawa mwanadamu aambiwe achague kimoja kwenye mwili wake kati ya moyo na ubongo kipi kiendelee kufanya kazi kipi kiache kufanya kazi!

Hata yeye akisema achague sawa anaweza akachagua kimoja kati ya hivyo lakini system ndani ya mwili wake haitaruhusu kimoja kati ya hivyo kuacha kufanya kazi hivyo huyu mtu lazima tu atakufa!

Kwahiyo hapa hata tukisema sisi tuchague kimoja kati ya hivyo tunaweza tukachagua tu! Lakini automatically hivyo vitu vyote viwili ni muhimu kwenye mahusiano kikikosekana hata kimoja basi yatakufa!
Ameeeeen mom, pitia kwa mangi pata zile baridiii unazozipenda, bill kwangu mie, nakuja kulipa.
 
Mwanaume anahitaji mwanamke anaemsikiliza na kumtii.
Mwanamke anahitaji mwanaume anayempenda na kumjali.

Ili mwanamke upendwe na kujaliwa inatakiwa uwe msikivu na mtiifu.
Ili mwanaume usikilizwe na awe mtiifu itakulazimu umpende na kumjali.

Over

Mkuu umemaliza kila kitu,,, umefanya stori ndefu iwe fupi...

Hiki ni kitu ikitakiwa kihubiriwe saaaaana Dubiani... Watu wakielewa hii falsafa dunia itakuwa sehemu salama sana
 
Nakuamini lakini sikupendi ndio maana sijaja PM.
 
Kwa upande wangu mimi kama namwamini na kweli ni mwaminifu bora huyo maana nitajifunza kumpenda huko huko.

Kuliko unayempenda halafu humwamini unaishi roho juu inaua hisia kabisa za mapenzi.



#Washa taa.#
Usijethubutu..utaumia.Hatupendagi ivoivo
 
Back
Top Bottom