Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,821
- 6,119
Habarini Chiefs
Binafsi tangu mwanzo timu hizi zilipofuzu kuingia semi final ya FA cup nilishindwa kujua nani hasa ataweza kuchukua hiko kikombe,kulingana na aina ya uchezaji wa timu zote
Tumeshuhudia timu zote zikiwa zinapata Matokeo tata kwenye misimu miwili ya Epl,huku mourinho akiwa na kikosi kizuri lakini aina ya mbinu zake imekuwa ni kero kwa mashabiki wengi wanaopenda soka safi la akili na uwezo wa wachezaji,huku Conte akiwa na kikosi kinachotegemea zaidi timu pinzani kuamka na bundi gani ili wao wapate matokeo,huku kila mara akionekana kupanga kikosi kinyume na matarajio ya wengi,
Je enyi wapenda soka jumamosi hiyo kabla haijafika unahisi nani atakuwaa mbabe wa mwenzie
Nb mechi hii sitegemei iwe na magoli mengi kutokana na aina za uchezaji wa timu zote mbili
Binafsi tangu mwanzo timu hizi zilipofuzu kuingia semi final ya FA cup nilishindwa kujua nani hasa ataweza kuchukua hiko kikombe,kulingana na aina ya uchezaji wa timu zote
Tumeshuhudia timu zote zikiwa zinapata Matokeo tata kwenye misimu miwili ya Epl,huku mourinho akiwa na kikosi kizuri lakini aina ya mbinu zake imekuwa ni kero kwa mashabiki wengi wanaopenda soka safi la akili na uwezo wa wachezaji,huku Conte akiwa na kikosi kinachotegemea zaidi timu pinzani kuamka na bundi gani ili wao wapate matokeo,huku kila mara akionekana kupanga kikosi kinyume na matarajio ya wengi,
Je enyi wapenda soka jumamosi hiyo kabla haijafika unahisi nani atakuwaa mbabe wa mwenzie
Nb mechi hii sitegemei iwe na magoli mengi kutokana na aina za uchezaji wa timu zote mbili