Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Sasa auwawe kisa kashika tako la mgonjwa ,sisi ambao wake zetu wamezalishwa na wanaume tena wameshikwa k zao , so mme muuwa Dk kisha kumchoma sindano mgonjwa kama alikuwa peke yake angefanyaje ,mimi nimedungwa sana sindano na manesi wa kike tuna tunapiga story na mmoja nilimla mbususuWasalaam JF,
Hivi kweli hawana soni ya kushika makalio ya pisi zetu kali? Ukorofi huo[emoji849][emoji849]
Kumezuka wimbi kubwa la kukiuka miiko yq kijinsia hivi kweli ni halali Daktari au Nesi wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike.
Hili ni sawa sawa kweli,? Tafadhari serikali iingilie Kati huu udhalilishaji unavotaka kufanywa kama utamaduni. Tuzingatie maadili sio poa kuwachoma sindano za tako wapenzi hii tabia ikomeshwe haraka sana.
Tuepuke matukio kama ya tarime yasitokee sehemu zingine za nchi.
Tamisemi na wizara ya afya mlitazame hili na likomeshwe haraka sana.
Wekeni mipaka kwenye wapenzi wa watu.
Wadiz
Daktari anasoma mwili wako kuanzia nywele mpaka ukucha wa dole gumba la mguu wako.Kitaaluma sijui
Ila kimaadili siyo sawa
We unaongelea kuchomwa sindano ya kalio? Unadhani wakienda kujifungua nani anawazalisha?Wasalaam JF,
Hivi kweli hawana soni ya kushika makalio ya pisi zetu kali? Ukorofi huo[emoji849][emoji849]
Kumezuka wimbi kubwa la kukiuka miiko yq kijinsia hivi kweli ni halali Daktari au Nesi wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike.
Hili ni sawa sawa kweli,? Tafadhari serikali iingilie Kati huu udhalilishaji unavotaka kufanywa kama utamaduni. Tuzingatie maadili sio poa kuwachoma sindano za tako wapenzi hii tabia ikomeshwe haraka sana.
Tuepuke matukio kama ya tarime yasitokee sehemu zingine za nchi.
Tamisemi na wizara ya afya mlitazame hili na likomeshwe haraka sana.
Wekeni mipaka kwenye wapenzi wa watu.
Wadiz
NakaziaMgonjwa hachagui daktari.
ni halali πVipi kwa daktari wa kiume kumshika tackle na kumchoma mgonjwa wa kiume?
SawaDaktari anasoma mwili wako kuanzia nywele mpaka ukucha wa dole gumba la mguu wako.
Kwa daktari aliye pikwa akapikika hamna kitu ambacho hajui kwa binadamu yeyote.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Vipi kwa daktari wa kiume kumshika tackle na kumchoma mgonjwa wa kiume?
Hiyo ni dharura, kwa maana ikiwa hakuna namna zaidi ya hiyo na ikiachwa patapatikana madhara makubwa lazima jambo hilo lifanyike hata kama halipo sawa tofauti na mtu kujiamulia tu.Mfano mwanao wa kiume daktari pekee hospitali unaumwa nyumbani unataka kufa dawa sindano na dawa anayo akuache ufe wewe? Usubiri hadi apatikane daktari mwanamke au nurse?
Au unahitaji operation daktari bingwa wa operation ni mwanao tu utakataa kuvua nguo akufanyie operation ukiwa uchi uwe mzima na asipoteze mama yake au utakubali ufe tu usumbue mtoto gharama za msiba?