Je, ni halali Daktari wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike?

naenda na mm mwaka huu kusoma certificate inanitosha nakaa labour na sindazo kwengine sitaki πŸ˜‚ πŸ˜‚
Hakuna kitu kama hicho wewe...
Mpaka uwende huko labour lazima tupime na akili zako kwanza .
Kama za hovyo kama wewe hatuta ku assign
 
Kweli wewe ni Divisioni Foo
Anzisha uzi wako utajibiwa maswali yako dada.
Jibu swali DAKTARI BINGWA.

Siku ukiugua TEZI DUME, je, utaingiziwa LIDOLE GUMBA mkunduni?

Au utajiingizia mwenyewe LIDOLE GUMBA mkunduni?

Na je ukijiingizia LIDOLE GUMBA mkunduni utavaa gloves? halafu ukichomoa unanusa?

Kwako DAKTARI BINGWA WA MAGONJWA SUGU.
 
Ukipatwa na tumbo la kuhara ndo utajua umuhimu wa chooo hata kiwe Cha home/kituo Cha mabasi/ sheli/ bar/ kwa jirani/ etc
 
Asa we unasema sindano ya tako mbona hilo suala ni jepes,je wanaopimwa njia ya kujifungua?au saratan ya kizazi vipimo vyake unavijua??πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,je kutanyiwa ultrasound au x rey ya mambo ya uzazi?tena unakuta kijana mdogoooo anawapima wamama watu wazima huko utaomba poaaπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mi nadhani mjadala ungelikuwa mtam kama swali lako lingelijibiwa kwa swali namna hii, je ni halali mkunga wa kiume kumzalisha mwanamke wakati wa kujifungua au ni halali dokta wa kiume kumfanyia pasuaji mgonjwa wa kike?
 
Sii neno zuri hilo..acha utoto.
Kwani ubongo, that is why mwanamke walio wengi wakitoka Kule akΓ­li hubadilika na kuona K haina thamani kabisaa Tofauti na enzi wakiwa vijana/Kabla ya kwenda labor
 
Mapenzi yanakusumbua nini Mwamba
Hujawahi kuuguliwa wewe au kuugua ndo Maana unapata jeuri ya kuandika upuuzi .
Nasemajeee subiria yakukute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…