Je, ni halali Daktari wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike?

Je, ni halali Daktari wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike?

Sasa nikimhudumia mkeo/pisi yako sichomi tu sindano kwenye tyakko napima hadi oil yake(utelezi) ni haki yangu kushika kama daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake.
Na wewe ukitaka kupimwa TEZI DUME unasokomezewa LIDOLE GUMBA mkunduni?

Au unajisokomezea mwenyewe LIDOLE GUMBA?

Kwako DAKTARI BINGWA.
 
Sol de Mayo!!

Kwann unaona kama wanachezewa na kushikwashikwa sehemu za siri?

Ebu jaribu kuondoa fikra potovu ili uweze kuona kuwa mkeo, dada au mama wanatibiwa na si vinginevyo.

Mwanamke kuzalishwa na mwanaume hii haiko sawa aise, ni udhalilishaji kwa wanawake
 
Wasalaam JF,

Hivi kweli hawana soni ya kushika makalio ya pisi zetu kali? Ukorofi huo🙄🙄

Kumezuka wimbi kubwa la kukiuka miiko ya kijinsia hivi kweli ni halali Daktari au Nesi wa kiume kumchoma sindano ya tako mgonjwa wa kike.

Hili ni sawa sawa kweli,? Tafadhari serikali iingilie Kati huu udhalilishaji unavotaka kufanywa kama utamaduni. Tuzingatie maadili sio poa kuwachoma sindano za tako wapenzi hii tabia ikomeshwe haraka sana.

Tuepuke matukio kama ya tarime yasitokee sehemu zingine za nchi.

Tamisemi na wizara ya afya mlitazame hili na likomeshwe haraka sana.

Wekeni mipaka kwenye wapenzi wa watu.

Wadiz
subiri uumwe km utajua hata jinsia ya anayekudunga hiyo sindano. Ktk matibabu hakuna jinsia we poyoyo. Daktari wa kike unamvulia nguo zote hata km we me. Kina nani wanazalisha wake zetu? au we ni mtoto bado? Daktari anamwingizia kidole mke wako we ukiwepo unazungumzia sindano? we kweli bado dogo.
 
Duuh certificate!!!!
Mbona umekamia hivo mkuu🤓🤓🤓
Wee kushika tuu ndo utakacho sio
Unakuta mwanamke mweupe ana bonge la shepu mtako huo imagine unashika shika daa aisee manesi na madokta wa kiume wanafaidi mm nina biashara zangu ila ngoja nikasome certificate halafu mm nitaomba nikae kitengo cha sindano na labour tu 😂 😂
 
Unakuta mwanamke mweupe ana bonge la shepu mtako huo imagine unashika shika daa aisee manesi na madokta wa kiume wanafaidi mm nina biashara zangu ila ngoja nikasome certificate halafu mm nitaomba nikae kitengo cha sindano na labour tu 😂 😂
Usizani ni rahisi hivo kama unavozania..
Utajuta kupoteza muda wako.
Kama unataka mbona hizo huduma zipo kwa wadada poa mkuu 🤓🤓🤓
 
Usizani ni rahisi hivo kama unavozania..
Utajuta kupoteza muda wako.
Kama unataka mbona hizo huduma zipo kwa wadada poa mkuu 🤓🤓🤓
Madada poa hapana mm nataka watu wa kawaida hao unakuta mtoto mzuri anakuja analegeza sauti naumwa nichome sindano daa au pia nasikia madkatri wanapima njia eti wanaingiza vidole duu yaan sikujua miaka yote kwanini nilivyomaliza form four sikusoma hizi fani
 
Madada poa hapana mm nataka watu wa kawaida hao unakuta mtoto mzuri anakuja analegeza sauti naumwa nichome sindano daa au pia nasikia madkatri wanapima njia eti wanaingiza vidole duu yaan sikujua miaka yote kwanini nilivyomaliza form four sikusoma hizi fani
Mjaa laana wewe 🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌
 
Alafu kumbe nilikua sijaona ID yako vzuri kumbe ndo wewe mkuu...
Iblis Bin Shetan 🤓🤓🤓🤓
Kasome mkuu na wewe ukabobee sana kule midwifery
Imagine demu umeshako tako na kuchoma sindano huyu ukimtongoza anaweza kukubali kirahisi aisee kumbe dokta na manesi wanafaidi hivi leo nimejua mengi mpk vidole wanaingiza kumbe 🤣 🤣
 
Madada poa hapana mm nataka watu wa kawaida hao unakuta mtoto mzuri anakuja analegeza sauti naumwa nichome sindano daa au pia nasikia madkatri wanapima njia eti wanaingiza vidole duu yaan sikujua miaka yote kwanini nilivyomaliza form four sikusoma hizi fani
Ndo mana hukwenda huko kusoma hayo mambo ..
Watu mna mambo ya ajabu sana..🙌🙌🙌
 
naenda na mm mwaka huu kusoma certificate inanitosha nakaa labour na sindazo kwengine sitaki 😂 😂
Hakuna kitu kama hicho wewe...
Mpaka uwende huko labour lazima tupime na akili zako kwanza .
Kama za hovyo kama wewe hatuta ku assign
 
Back
Top Bottom