johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwetu mbegu za bangi ni kiungo Cha mboga kama karanga ๐Acha bangi
Unashangaa nini, hivi wailiopita bila kupingwa 2020, walipiga kura zao wapi?Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น
Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น
Waliopita bila kupingwa wako bungeni isivyo halali Mahakama ilisema hivyo ๐Unashangaa nini, hivi wailiopita bila kupingwa 2020, walipiga kura zao wapi?
Nape na Babu Tale hata hilo box la kura halikuwepo,
Dominica njema bwashee,b
Kuna shida hapo KwaniKote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น
Hicho siyo Chama cha Siasa bali ni SACCOS ya Chagadomo.Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น
Ni halali,kwani yeye kasemaje?Kuna mtu hapendi mazuri kwake!Huyo atakuwa punguani,fanya kazi acha wivu.Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น
Swadakta,Waliopita bila kupingwa wako bungeni isivyo halali Mahakama ilisema hivyo ๐
Mrema Lyatonga, hadi kura yake ilipelekwa kwa mtu wa CCM.Kwetu mbegu za bangi ni kiungo Cha mboga kama karanga ๐
Nakutakia Dominica njema ๐น
Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น
Huyu jamaa akili zake zinasikitisha sana. Nilishamshauri afiche upumbavu wake lakini mbishiKama kuna katiba hio duniani basi dunia imeisha. Sasa ikitokea mgombea wa urais wa upinzani duniani akawekwa ndani , inamaana mpinzani wake atapita kiulani?kwa sababu sikuya kupiga kura kawekwa ndani
Katimiza masharti yote ya chama, hayo ya polisi waachie polisi wenyewe.Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น
Kama inakataza kutopigiwa kura ukiwa haupo itakua ni katiba mbaya sanaKote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น
Dunia ipi hiyo? Mgombea akifariki au akiugua siku ya kupiga kura jina lake linafutwa kwenye karatasi! Usilete vituko hapa.Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น
Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น
Wewe umeitafuta ukaisoma ukaona inasemaje katika hili?Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema ๐น