johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
7 October nitaanza likizo baada ya amani ya kudumu kupatikana Iran ππKama kuna katiba hio duniani basi dunia imeisha. Sasa ikitokea mgombea wa urais wa upinzani duniani akawekwa ndani , inamaana mpinzani wake atapita kiulani?kwa sababu sikuya kupiga kura kawekwa ndani? Chukua likizo japo mwezi mmoja jf ili ukaipumzishe akili
Atec II hujambo?Huyu jamaa akili zake zinasikitisha sana. Nilishamshauri afiche upumbavu wake lakini mbishi
Nilifikiri baada ya kutoka ktk Giza ukaingia ktk nuru7 October nitaanza likizo baada ya amani ya kudumu kupatikana Iran ππ
Hakuna tatizo lolote, mbona kuna mtu hadi ni rais na hakupiga kura?!, sifa za mtu kuchaguliwa ni kuwa na sifa na sio lazima uwepo au upige kura, ila kitendo cha mtu kuchaguliwa uongozi in absentia ni kipimo cha imani kubwa walionayo kwako hao wapiga kura wako.Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Hata CCM na ndugu zao Polisi walikuwa na mawazo kama yako, wakamtumia Hakimu duni kumnyima dhamanaKote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Kwahiyo ulimuweka ndani kwa malengo ya kupishana na uchaguzi? π€£ π€£ π€£ π€£Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Nuru ni Yesu Kristo aliteikomboa Dunia kutoka dhambini ππNilifikiri baada ya kutoka ktk Giza ukaingia ktk nuru
Kura yake angepelekewa akapige pale pale alipo πKwahiyo ulimuweka ndani kwa malengo ya kupishana na uchaguzi? π€£ π€£ π€£ π€£
ππππHata CCM na ndugu zao Polisi walikuwa na mawazo kama yako, wakamtumia Hakimu duni kumnyima dhamana
Mwenye roho mbaya mmempokonya haki hiyo.Kote Duniani kwenye Demokrasia Mgombea ni lazima awe mpiga kura na siku ya uchaguzi ashiriki kupiga Kura
Sasa Boniface Jacob kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani nafasi iliyowahi Kushikiliwa na Waziri Mkuu mstaafu mzee Sumaye kabla hajaogopa kulamba Sumu
Katiba ya Chadema inasemaje Katika hili?
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Msamehe bure sio yeye njaa imepanda ikala ubongo.Huyu jamaa akili zake zinasikitisha sana. Nilishamshauri afiche upumbavu wake lakini mbishi