Je, ni halali kwa Mkuu wa shule kumtoa mwanafunzi nje ya chumba cha mtihani na kumcharaza viboko kisa kusinzia?

Je, ni halali kwa Mkuu wa shule kumtoa mwanafunzi nje ya chumba cha mtihani na kumcharaza viboko kisa kusinzia?

cilla,
Mwanangu Yuko bweni hapa Monduli Kaka, Asante kwa kunisaidia,sijui unakuta kagombana na mke wake hasira zake ndo aje azimalizie kwa wanetu.
 
Unauliza swali ilhali jibu lake unalijua...

Kitaratibu za mitihani mwalimu amekosea, na mwanafunzi mwenye "contents" kichwani tambua kuwa hawezi kusinzia akiwa anafanya mtihani.

Cha kushangaza watu wasiokuwa walimu hujifanya ni walimu bora kuliko walimu wenyewe japo hawana uzoefu wowote wa kukaa na watoto wa shule.
 
ni sahihi mkuu........ what if mtoto hakumaliza maswali au kuanza kabisa akawa amelala?.. unavyolalama umejitia upofu kuwa mwalimu kamtibu mtoto tabia ambayo inaweza kusababisha kufeli mitihani?
 
Unauliza swali ilhali jibu lake unalijua...

Kitaratibu za mitihani mwalimu amekosea, na mwanafunzi mwenye "contents" kichwani tambua kuwa hawezi kusinzia akiwa anafanya mtihani.

Cha kushangaza watu wasiokuwa walimu hujifanya ni walimu bora kuliko walimu wenyewe japo hawana uzoefu wowote wa kukaa na watoto wa shule.
Labda hatujui kwa vile tulikimbia shule.
Hivi kweli mtu umalize kula ukashiba vizuri na ukaenda kukaa hata iwe kwa mtihani kweli usisinzie?.

Nilikuwa sijui Bali walimu ninao Kaa nao ndo walionieleza kuwa haruhusiwi.
Sasa Kama haruhusiwi kwa Nini afanye hivo?.
Au ndo ubabe kwa watoto wa maskini?.
Nimeamua kumuachia Mungu.
 
SIO SAHIHI.
Je ni mitihani ya ndani ama ya kitaifa?
Mitihani ya kitaifa mkuu wa shule haruhusiwi kuingia kwenye chumba cha mtihani wakati mitihani inaendelea.

Mitihani mingine: mwanafunzi hatakiwi kufanya mtihani akiwa na mvurugiko huo.
Mazingira ya mitihani kisaikolojoa na eneo la mtihani lazima liwe rafiki na salama ili mwanafunzi afanye mtihani kwa utulivu.
 
Pia utambue tunalea watoto wenye tabia nzuri nyumbani lakini shuleni wana tabia mbovu kupindukia......... pengine aliulizwa kwanini analala katika chumba cha mtihani akamjibu mwalimu majibu ya hovyo! jaribu kuwa na mawasiliano ya karibu na waalimu
 
ni sahihi mkuu........ what if mtoto hakumaliza maswali au kuanza kabisa akawa amelala?.. unavyolalama umejitia upofu kuwa mwalimu kamtibu mtoto tabia ambayo inaweza kusababisha kufeli mitihani?
Siyo sahihi kabisa,kazi ya msimamizi katika kile chumba ilikuwa Ni Nini?.

Ukijibu Hilo swali nitakaa kimya.

Kumbuka yeye hakuwa msimamizi kwenye darasa lolote ila alikuwa akiwatoa nje na kuwalamba bakora.

Je concentration ya huyo mtoto na wengine itatoka wapi ataporudi darasani?.

Je kitendo cha kuwachapa kwa kuwatoa chumba cha mtihani je hakija sababisha internal noises kwa walio chapwa na ambao hawakuchapwa?.

Kwa Nini hajatumia wasimamizi walokuwa kwenye vyumba kuwaomba kuwaamsha Hadi kuwachapa?.

Walimu Bado hamjanishawishi.
 
Mtoto mpuuzi Uyo pia inaelekea ww ndio umemdekeza, mwanafunzi anayejitambua hawezi kulala ndani Ya mtihani, uyo tatizo kubwa
Siyo mmoja tu wa kwangu kasema wapo wengi,yeye alikuwa Kesha maliza,kuegesha kidogo usingizi ukapitia,kaamushwa na msimamizi kuwa mkuu anakuita,kaenda kuchezea bakora,na siyo fimbo mmoja ama mbili.
 
Siyo sahihi kabisa,kazi ya msimamizi katika kile chumba ilikuwa Ni Nini?.

Ukijibu Hilo swali nitakaa kimya.

Kumbuka yeye hakuwa msimamizi kwenye darasa lolote ila alikuwa akiwatoa nje na kuwalamba bakora.

Je concentration ya huyo mtoto na wengine itatoka wapi ataporudi darasani?.

Je kitendo cha kuwachapa kwa kuwatoa chumba cha mtihani je hakija sababisha internal noises kwa walio chapwa na ambao hawakuchapwa?.

Kwa Nini hajatumia wasimamizi walokuwa kwenye vyumba kuwaomba kuwaamsha Hadi kuwachapa?.

Walimu Bado hamjanishawishi.
kazi ya msimamizi ni kusimamia..... vipi kama msimamizi ndio wale tulikuwaga tunawaita Mwalimu poa? walikuwa hawana muda na watoto...

mtoto anahitaji concentration ya nini wakati apo chini unasema alikuwa kamaliza kujibu maswali??

Kama waliochapwa ni wale waliolala tuu hizo unazoziita internal noises zinatoka wapi ilihali lengo ni kutokomeza tabia za kulala katika vyumba vya mitihani...?

Ulitaka amtoe msimamizi mpk nje ya chumba cha mtihani kuwaadhibu watoto waliolala ili wengine wapate nafasi ya kuigana majibu?
 
Sasa majibu unayo umileta hapa ili!!?
Akili zuzu ka mwanao PUMBAVU.
Una ujauzito wa akili wewe,Kuna mtu aliye kutukana?.
Nashukuru kuwa zuzu na Mwanangu,ila mhusika Kama anapita humu keshajijua.
 
mr sangoyi,
Ninachofikiri ingekuwa vema Kama mkuu angewaomba wasimamizi wawe Wana waamsha,na siyo kuchapa
 
Inaonekana umeumia mwanao alivyochapwa na hujafikiri madhara ya kulala katika chumba cha mtihani mkuu???

fanya hivi chukua mwanao mpeleke police wakupe pf3 kama ameumizwa..... mshitaki huyo mkuu kwanini amchape mwanao aliyekuwa amelala katika chumba cha mtihani, then baada ya hapo kesi itaenda mahakamani na mkuu wa shule atachapwa viboko 9 na atahukumiwa kunyongwa sheria inasema.


NIMEONA NIKUSHAURI UPUMBAVU TUU MAANA HUELEKEI KUELEWA.
 
Huenda hukukimbia shule lakini haukua katika nafasi ya malezi kwa watoto kama walimu walivyo.

Wakati wa kipindi cha mitihani hasa ya kitaifa watoto huandaliwa vizuri tu na walimu wao kwa namna nyingi, hata namna ya kula, sio unakula tu kama "chauroho" maana lazima utasinzia kwenye chumba cha mtihani.

Sikatai kuwa Mkuu wa Shule haruhusiwi kuingia kwenye chumba cha mtihani kwa nafasi yake, lakini amefanya hivyo sio kuwakomoa bali kuwaweka sawa ili next time wazingatie maelekezo waliyopewa kabla.

Cha kuzingatia ziadi ni dhamira ya mwalimu.

Usipandishwe hasira na maneno ya mwanao kwa kuwa zimemuwasha sana.

Na umshauri mwanao, ikiwa amemaliza mtihani aondoke zake, sio kulala darasani asije akafanya mambo ya ajabu akaharibu "concentration" kwenye chumba cha mtihani kuliko hata mwalimu alivyoharibu kama watu wanavyodai.
Labda hatujui kwa vile tulikimbia shule.
Hivi kweli mtu umalize kula ukashiba vizuri na ukaenda kukaa hata iwe kwa mtihani kweli usisinzie?.

Nilikuwa sijui Bali walimu ninao Kaa nao ndo walionieleza kuwa haruhusiwi.
Sasa Kama haruhusiwi kwa Nini afanye hivo?.
Au ndo ubabe kwa watoto wa maskini?.
Nimeamua kumuachia Mungu.
 
Mtoto kulala kwenye chumba cha mtihani ni uzembe tena mkubwa no matter what jooh...mkuu wa shule anamamlaka yote kuhusu shule anayosimamia anaingia room yeyote na kama kuna chochote hakipo saw ana mamlaka ya kupangua
 
ungekuwa huku Lingusenguse ningekununulia Lunch,copral punishments ni unyama at its highest level,tafiti zote za kisayansi zimekuja na majibu utumiaji wa adhabu hii hausaidii katika kudhibiti nidhamu na badala yake inaleta na kujenga chuki kati ya mwalimu na mwanafunzi,inaleta our next generations ziwe na hasira na visasi (matokeo yake tunayaona humu ndani,walioua kwa viboko hata michango yao ni ya kihasira)get rid of this shit.
Labda Ulaya., kibongo bongo Adhabu zinasaidia sana tu
 
Samahani naomba nitoke nje ya mada kidogo japo wote tupo kwenye elimu. Nina mdogo wangu amemaliza form four na anapenda kusomea course za afya certificate but hajasoma Physics na Chemistry ila ada C,B na D za massomo mengine ikiwemo biology. Je ni course gani anaweza kusomea za afya?
Akasome mortuary attendant kwa hizo sifa Mkuu
 
Tena alitakiwa achalazwe pia mzazi wake wote mchalazwe
Wadau wa elimu naomba msaada.

Ni sahihi Mkuu wa shule kumtoa mwanafunzi nje ya chumba cha mtihani na kumcharaza viboko kisa kusinzia?

Mwanangu kaja na kunisimulia.
 
Back
Top Bottom