Je ni hali ngumu? Rais Samia Kusafiri na Kisimbuzi cha Azam kila aendapo?

Je ni hali ngumu? Rais Samia Kusafiri na Kisimbuzi cha Azam kila aendapo?

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Kuna tangazo linawekwa sana UTV rais Samia anasema kuwa kila anapo safiri wasaidizi wake lazima wabebe kisimbuzi cha Azam.

Sasa ninachojiuliza, inamaana akitoka ikulu ya Dar wasaidizi wake wanabeba wanaenda nacho Kizimkazi, badae wanaunganisha nacho Dodoma, badae wanaenda nacho Mwanza n.k

Kwani hizo sehemu anazokwenda hakuna ving'amuzi au wasaidizi wake huwa wanapitiwa hivyo wanang'oa dishi wanasepa nalo ziarani?
 
Kuna tangazo linawekwa sana UTV rais Samia anasema kuwa kila anapo safiri wasaidizi wake lazima wabebe kisimbuzi cha Azam.

Sasa ninachojiuliza, inamaana akitoka ikulu ya Dar wasaidizi wake wanabeba wanaenda nacho Kizimkazi, badae wanaunganisha nacho Dodoma, badae wanaenda nacho Mwanza n.k

Kwani hizo sehemu anazokwenda hakuna ving'amuzi au wasaidizi wake huwa wanapitiwa hivyo wanang'oa dishi wanasepa nalo ziarani?

Robo ya posho yake tu ya safari moja akiamua kulipia basi ni miaka ya kutosha

Hizo nyingine ni story tu za vijiwe vya digital
 
Kuna tangazo linawekwa sana UTV rais Samia anasema kuwa kila anapo safiri wasaidizi wake lazima wabebe kisimbuzi cha Azam.

Sasa ninachojiuliza, inamaana akitoka ikulu ya Dar wasaidizi wake wanabeba wanaenda nacho Kizimkazi, badae wanaunganisha nacho Dodoma, badae wanaenda nacho Mwanza n.k

Kwani hizo sehemu anazokwenda hakuna ving'amuzi au wasaidizi wake huwa wanapitiwa hivyo wanang'oa dishi wanasepa nalo ziarani?
Tangazo lenyewe liko wapi?
 
Mwenye nchi na vyote vilivyomo asumbuliwe na kisimbuzi? Hampo serious. Unapokokuwa Rais Kwa nchi za Africa Huwa ni fursa ya kuwa Trilionea. Hivyo Rais ni Tajiri na mjasiriamali mkubwa, viongozi na wafanyabiashara wote hujipendekeza kwake, na humpelekea mali pomoni, Rais hafikirii mambo madogo kama kuangalia Tv(maskini na wavivu ndio hushinda kwenye Tv). Muda mwingi a afikiria maendeleo na namna ya kubaki madarakani ili kuwa tajiri zaidi na mwenyenguvu zaidi.
 
Kuna clip inaonyesha gari la raisi wanaliwekea king'amuzi cha Azam na huduma zao za upholstery, baada ya hapo Raisi anakuja kusema kila ninapoenda nakuwa na king'amuzi cha Azam kwa sababu kiko fitted kwenye gari yake. Sijui mme elewa sasa?
 
Hicho kimekaguliwa na kuthibitishwa kuwa ni salama kwakwe. Vifaa vya kielectroniki ni nyenzo rahisi zaidi ya ujasusi, 'wasaidizi' makini hawawezi kuruhusu mkuu wa nchi akawa anaunganishiwa decoder tofauti kila aendako.
 
Hicho kimekaguliwa na kuthibitishwa kuwa ni salama kwakwe. Vifaa vya kielectroniki ni nyenzo rahisi zaidi ya ujasusi, 'wasaidizi' makini hawawezi kuruhusu mkuu wa nchi akawa anaunganishiwa decoder tofauti kila aendako.
Kwahiyo ikulu zote anatumia hicho kimoja?
 
Kwahiyo ikulu zote anatumia hicho kimoja?
Hiyo ni siri ya hao 'wasaidizi', lakini chochote wanachofanya jua kuwa kuna sababu nzito ya kwanini wanafanya hivyo.

Hata rais mwenyewe anaweza asielewe kwanini wanafanya baadhi ya vitu, lakini hiyo ni taaluma yao.
 
Tunahamishwa magoli kirahisiii...tunaacha kukadili mambo ya maana tunakomalia kingamuzi khaaaa
 
Kuna tangazo linawekwa sana UTV rais Samia anasema kuwa kila anapo safiri wasaidizi wake lazima wabebe kisimbuzi cha Azam.

Sasa ninachojiuliza, inamaana akitoka ikulu ya Dar wasaidizi wake wanabeba wanaenda nacho Kizimkazi, badae wanaunganisha nacho Dodoma, badae wanaenda nacho Mwanza n.k

Kwani hizo sehemu anazokwenda hakuna ving'amuzi au wasaidizi wake huwa wanapitiwa hivyo wanang'oa dishi wanasepa nalo ziarani?
Huyo ndo madam wetu.

Wasaidizi wake wanamuacha aongelee lolote bila kupima impact
 
Mwenye nchi na vyote vilivyomo asumbuliwe na kisimbuzi? Hampo serious. Unapokokuwa Rais Kwa nchi za Africa Huwa ni fursa ya kuwa Trilionea. Hivyo Rais ni Tajiri na mjasiriamali mkubwa, viongozi na wafanyabiashara wote hujipendekeza kwake, na humpelekea mali pomoni, Rais hafikirii mambo madogo kama kuangalia Tv(maskini na wavivu ndio hushinda kwenye Tv). Muda mwingi a afikiria maendeleo na namna ya kubaki madarakani ili kuwa tajiri zaidi na mwenyenguvu zaidi.
Kwahiyo unamtukana sio?
 
Azamuislam? Lkn kimeajiri more Cristian kuliko islam..wanaotembeza wengi mitaani ndio hao
Huijui Bakhresa and Co wewe!

Hata hivyo, ungekuwa makini kidogo tu kuangalia watoa salamu za mwisho wa mwaka huu, usingeweka hii comment yako hapa!

Tuanzie na Flour Mill Buguruni, kisha hamia pale chini kuelekea Chang'ombe, malizia na Mwandege, Bagamoyo Sukari pia ukipenda....Azam Marine kisha nitajie watumishi 30 kila sehemu, tuone kama unalolisema ni sahihi!

Ukimaliza hapo, hamia viwanda vyake vya Uganda, Zimbabwe, SA, etc.
- Ukiacha Wahindi na Wakenya waliopo pale, ni watanzania wa majina gani wapo kwa wingi?

Kila kiwanda kina sehemu ya msikiti, sijawahi kusikia Chapel, why?
  • Utasema hata Airports hawana Chapels sio?
  • Na uajiri pia?
 
Back
Top Bottom