Kuna tangazo linawekwa sana UTV rais Samia anasema kuwa kila anapo safiri wasaidizi wake lazima wabebe kisimbuzi cha Azam.
Sasa ninachojiuliza, inamaana akitoka ikulu ya Dar wasaidizi wake wanabeba wanaenda nacho Kizimkazi, badae wanaunganisha nacho Dodoma, badae wanaenda nacho Mwanza n.k
Kwani hizo sehemu anazokwenda hakuna ving'amuzi au wasaidizi wake huwa wanapitiwa hivyo wanang'oa dishi wanasepa nalo ziarani?
Tangazo lenyewe liko wapi?Kuna tangazo linawekwa sana UTV rais Samia anasema kuwa kila anapo safiri wasaidizi wake lazima wabebe kisimbuzi cha Azam.
Sasa ninachojiuliza, inamaana akitoka ikulu ya Dar wasaidizi wake wanabeba wanaenda nacho Kizimkazi, badae wanaunganisha nacho Dodoma, badae wanaenda nacho Mwanza n.k
Kwani hizo sehemu anazokwenda hakuna ving'amuzi au wasaidizi wake huwa wanapitiwa hivyo wanang'oa dishi wanasepa nalo ziarani?
Kwahiyo ikulu zote anatumia hicho kimoja?Hicho kimekaguliwa na kuthibitishwa kuwa ni salama kwakwe. Vifaa vya kielectroniki ni nyenzo rahisi zaidi ya ujasusi, 'wasaidizi' makini hawawezi kuruhusu mkuu wa nchi akawa anaunganishiwa decoder tofauti kila aendako.
Hiyo ni siri ya hao 'wasaidizi', lakini chochote wanachofanya jua kuwa kuna sababu nzito ya kwanini wanafanya hivyo.Kwahiyo ikulu zote anatumia hicho kimoja?
Hataki kukosa zile tamthilia!Ni harakati zile zile za promosheni yq Azamuislam!
Huyo ndo madam wetu.Kuna tangazo linawekwa sana UTV rais Samia anasema kuwa kila anapo safiri wasaidizi wake lazima wabebe kisimbuzi cha Azam.
Sasa ninachojiuliza, inamaana akitoka ikulu ya Dar wasaidizi wake wanabeba wanaenda nacho Kizimkazi, badae wanaunganisha nacho Dodoma, badae wanaenda nacho Mwanza n.k
Kwani hizo sehemu anazokwenda hakuna ving'amuzi au wasaidizi wake huwa wanapitiwa hivyo wanang'oa dishi wanasepa nalo ziarani?
Kwahiyo unamtukana sio?Mwenye nchi na vyote vilivyomo asumbuliwe na kisimbuzi? Hampo serious. Unapokokuwa Rais Kwa nchi za Africa Huwa ni fursa ya kuwa Trilionea. Hivyo Rais ni Tajiri na mjasiriamali mkubwa, viongozi na wafanyabiashara wote hujipendekeza kwake, na humpelekea mali pomoni, Rais hafikirii mambo madogo kama kuangalia Tv(maskini na wavivu ndio hushinda kwenye Tv). Muda mwingi a afikiria maendeleo na namna ya kubaki madarakani ili kuwa tajiri zaidi na mwenyenguvu zaidi.
Azamuislam? Lkn kimeajiri more Cristian kuliko islam..wanaotembeza wengi mitaani ndio haoNi harakati zile zile za promosheni yq Azamuislam!
Huijui Bakhresa and Co wewe!Azamuislam? Lkn kimeajiri more Cristian kuliko islam..wanaotembeza wengi mitaani ndio hao