Tatizo kubwa[emoji28][emoji28]Ooh tatizo sasa [emoji23]
Nimpe details za kila mgeni wa kiume anayenitembelea
Yeah..kaka zanguKwani ulikuwa na wageni wengi wa kiume jamani?!
Afadhali maana nilishapata wivu.Yeah..kaka zangu
Pole na wivu mwayaAfadhali maana nilishapata wivu.
Alisikitika nilivyomwambia sitalipia Kodi Tena..ninahama... Akisema hakuwahi pata mpangaji asiyesumbua Kama Mimi atanimisi KWELI.... alikuwa MWANGA๐๐๐๐๐Ooh tatizo sasa [emoji23]