Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwenye nyumba yako alikuwa mloziEh, basi leo nimekumbuka changamoto za nyumba za kupanga kwa kiasi mpaka unatamani kulia.
Nakumbuka nilishawahi ambiwa na mwenye nyumba wangu kuwa nisiwe natandika mashuka meupe na kitanda kisibadilishwe uelekeo tofauti na alivyoniambia[emoji23], kwingine niliambiwa kila mgeni akija lazima nimtambulishe kwake, bt ni kwa neema tu tumebarikiwa, vipi kwako ilikuwaje[emoji3526]
septic tankIs it simtank or sewer pit?
Hiyo ya kwanza ni kubwa kuliko[emoji23][emoji23]Eh, basi leo nimekumbuka changamoto za nyumba za kupanga kwa kiasi mpaka unatamani kulia.
Nakumbuka nilishawahi ambiwa na mwenye nyumba wangu kuwa nisiwe natandika mashuka meupe na kitanda kisibadilishwe uelekeo tofauti na alivyoniambia[emoji23], kwingine niliambiwa kila mgeni akija lazima nimtambulishe kwake, bt ni kwa neema tu tumebarikiwa, vipi kwako ilikuwaje[emoji3526]
[emoji23][emoji23][emoji23]Alisema nisiwe naoga maji ya moto kwa hali yoyote ile labda niogee choo cha jirani