Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achali imemnogeaya nini ung'ang'anie koloni la mtu?
Hapo pia ni tatizo.
Kama mmependana we zama tu mkuuLakini pia hawa ambao hawajazaa ni vichomi mbaya.
Hicho ndio unachokitakaHaina haja ila inatakiwa kujiuliza mwenye koloni mbona kalipa uhuru kwani linashida gani ulichukuwe,,na ukicheki koloni lenyewe linamadini
Hiyo ni kweli bora mtafute mtoto mzuri kama Bujibuji hapo sawa.Mmmhhhh kama nasadiki hivi.
Sasa kama baba alitelekeza mimba mpaka mtoto,hapo kutakuwa na mawaailiano kweli??????Siyo kosa... ila ukubaliane kwamba huyo mtoto ana baba yake.. na huyo baba yake atatakiwa kiwasiliana na mama mtoto jinsi ya kumlea na kukumkuza huyo mtoto... na hata kuongeza mwingine inapobidi...