Pre GE2025 Je, ni kwamba Rais hajui kuwa Dkt. Slaa anasota jela kwa makosa yanayo dhaminika?

Pre GE2025 Je, ni kwamba Rais hajui kuwa Dkt. Slaa anasota jela kwa makosa yanayo dhaminika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Adabu kwa kosa gani, mnamshikisha adabu kwa kosa ambalo bado lina dhamana na bado mahakama ilidai bado uchunguzi haujakamilika na mtu anashikiliwa kwa kosa lenye dhamana, akili za wapi hizo?

Nenda Kenya hapo ujifunze standards za kimahakama.
Hamia Kenya
 
Raisi anahusikaje na mahakama si mwanasheria yule ajitoe!

Kwani huko mahakamani unafikiri alifikaje? Unafikiri kweli kituo cha police Mbweni wanaweza kwenda kumkamata Solaa saa 7:00 usiku bila maelekezo kutoka juu...!?

Kinachoendelea kwa sasa is "In The Name of The President". Period.
 
Hamia Kenya
FB_IMG_17398753858335258.jpg
 
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.

MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.

Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.

Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?

Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.

Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Wapo wengi jela na kesi zao zinaweza kuthaminiwa...sasa tumuombe Mh. Rais awaachie basi
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.

MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.

Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.

Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?

Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.

Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Yaani mfanye makosa mtegemee kutolewa kwa huruma.Asote akome kuropoka.Wacha sheria ichukue mkondo wake.Unavuna unachopanda.
 
Nenda kamdhamini unalialia nini JF?Kosa si lina dhamana nenda kamdhamini.
Wapo waliokwenda kumdhani wamezuiliwa na kwani niliposema kosa lina dhamana ni lazima nikamdhamini mimi?
 
Mnataka rais aingilie uhuru wa mahakama?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mzee wanamtesa Tu hapa inatakiwa kupaza sauti Hadi watu wa Haki za binadamu watoe tamko kama walivyotoa kwa Uganda kumuachia kiiza
 
Back
Top Bottom