Hamia KenyaAdabu kwa kosa gani, mnamshikisha adabu kwa kosa ambalo bado lina dhamana na bado mahakama ilidai bado uchunguzi haujakamilika na mtu anashikiliwa kwa kosa lenye dhamana, akili za wapi hizo?
Nenda Kenya hapo ujifunze standards za kimahakama.
Raisi anahusikaje na mahakama si mwanasheria yule ajitoe!
Hamia Kenya
Wapo wengi jela na kesi zao zinaweza kuthaminiwa...sasa tumuombe Mh. Rais awaachie basiNajiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.
MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.
Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.
Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?
Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.
Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Kenya sio mbali tena bila Visa, wasalimie tu kina Ruto.
Yaani mfanye makosa mtegemee kutolewa kwa huruma.Asote akome kuropoka.Wacha sheria ichukue mkondo wake.Unavuna unachopanda.Najiuliza tu sipati jibu. Ni KWELI kuna mihimili mitatu, Dola, Mahakama na Bunge, mihimili hii haiingiliani, Ila kwa mujibu wa kauli ya rais wa awamu ya tano, kuna mhimili mmoja una mizizi mirefu sana hadi mizizi hiyo inaingia kwenye mihimili mingine.
MBOWE na kina @adamoo walipokuwa wakihenyeshwa na kesi ya ugaidi, rais aliweza kuingilia muhimili wa Mahakama na kuamuru kesi ya MBOWE na wenzake ifutwe.
Kesi ikafutwa, kituo cha kwanza cha MBOWE ikawa ni kwenda ikulu.
Mzee Slaa ana miaka 76, yuko magerezani, anasota, je mama huyu mpenda haki, ambaye ana taasisi ya kisheria ya kupania haki kwa wanyonge, anashindwaje kumtoa Slaa jela?
Slaa atoke jela, kesi yake iendelee akiwa uraiani.
Huo ndio uungwana, hata tusio wapenda tuwape haki na stahili zao.
Nenda kamdhamini unalialia nini JF?Kosa si lina dhamana nenda kamdhamini.Jibu swali , nini sababu ya yeye kuendelea kuwepo rumande ilhali kosa lina dhamana?
Wapo waliokwenda kumdhani wamezuiliwa na kwani niliposema kosa lina dhamana ni lazima nikamdhamini mimi?Nenda kamdhamini unalialia nini JF?Kosa si lina dhamana nenda kamdhamini.
Haibadili uhalisia kuwa kuna tofauti kubwa kati ya mahakama za Kenya na Tanzania.Kenya sio mbali tena bila Visa, wasalimie tu kina Ruto.
Sio huruma, dhamana ni haki ya mtuhumiwaYaani mfanye makosa mtegemee kutolewa kwa huruma.Asote akome kuropoka.Wacha sheria ichukue mkondo wake.Unavuna unachopanda.
Haki itendekeWapo wengi jela na kesi zao zinaweza kuthaminiwa...sasa tumuombe Mh. Rais awaachie basi
Si kamwekee dhamana?Unalalama tu JF.Sio huruma, dhamana ni haki ya mtuhumiwa
Makosa yake yanadhaminika, lakini Mahakama imegoma kumpa dhamana. Ngoja sasa afie jela mumle nyama, mnenepeSi kamwekee dhamana?Unalalama tu JF.
DuhManasara lazima mjue kuwa nyinyi ni makafiri sehemu yenu ni jela tu ...sisi waisiharamu hatutaki mchezo na manasara kwetu uzalendo ni mavii na mzalendo ni adui
Kwani akiwa uraiani ndio hafi?Kamdomo kamemponza.Wacha ashikishwe adabu kidogo.Makosa yake yanadhaminika, lakini Mahakama imegoma kumpa dhamana. Ngoja sasa afie jela mumle nyama, mnenepe
Acha chukiKwani akiwa uraiani ndio hafi?Kamdomo kamemponza.Wacha ashikishwe adabu kidogo.
Chuki ameanza huyo kwa kutukana na kuzusha bila ushahidi.Mdomo umemponzq.Acha chuki