Je, ni kwanini barabara ya maji chumvi (Jeshini - Tabata Kimanga) haipigwi lami pamoja ya kuwa na umuhimu kupindukia?

Je, ni kwanini barabara ya maji chumvi (Jeshini - Tabata Kimanga) haipigwi lami pamoja ya kuwa na umuhimu kupindukia?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Tumeshuhudia vichochoro vingi huko Sinza na Kinondoni vikipigwa lami mwanzo mwisho, tena havina umuhimu wowote, maana vingi ni dead ends zinazoishia kwenye mageti ya watu.

Sasa najiuliza, iweje barabara muhimu kama ile ya maji chumvi kuelekea Kimanga inayotumiwa na malaki ya raia wa T/Kimanga ikakosa lami?! Why?

Yaani daladala inatoka mawasiliano kwenda Kimanga halafu inapitia bima hebu ingieni google map muone jinsi Kimanga na Mawasiliano palivyo karibu, hata kwa mguu unafika, lakini gari inatembea umbali kama Dar- Bagamoyo, why?
 
Hiyo barabara itanuliwe na kupigwa mkeka wa lami haraka iwezekanavyo, inatia aibu
 
Back
Top Bottom