Je, ni kwanini kila anaeanzisha biashara ya daladala lazima ife na afilisike?

Je, ni kwanini kila anaeanzisha biashara ya daladala lazima ife na afilisike?

Cha kwanza uwe na dereva muaminifu, aijalishi gari mpya au ya zamani, ukipata bahati mbaya ukapata dereva mbovu, anaweza akaitia mtaroni gari yako au mapato yako ukayatumia kulipia fines. Madereva wengi ni illiterate na IQ zao ni ndogo, hathamini kazi wala ajali thamani ya gari. Ni bora ukanunue shamba pengine siku moja value yake itaongezeka kuliko kufanya hiyo biashara, ila kama una insist nitafute PM nina rafiki yangu ana gari ame pack huu mwaka mzima sasa na haina tatizo lolote kubwa
 
Cha kwanza uwe na dereva muaminifu, aijalishi gari mpya au ya zamani, ukipata bahati mbaya ukapata dereva mbovu, anaweza akaitia mtaroni gari yako au mapato yako ukayatumia kulipia fines. Madereva wengi ni illiterate na IQ zao ni ndogo, hathamini kazi wala ajali thamani ya gari. Ni bora ukanunue shamba pengine siku moja value yake itaongezeka kuliko kufanya hiyo biashara, ila kama una insist nitafute PM nina rafiki yangu ana gari ame pack huu mwaka mzima sasa na haina tatizo lolote kubwa
Eicher bus ni bei gan mpya mkuu
 
Asante kwa Maelezo mazuri kiongozi yaani umeekeweka vizuri, umeongelea kuhusu kununua second hand unatushauri nini sisi wenye mitaji midogo tukitaka kununua binafs nahiaji hiace superoof
Kiongozi kama una mtaji ndogo sio lazima ununue gari, unaweza kudhamini gari lililomshinda mwenyewe, na hii ndo njia ya uhakika ya kupata faida, unaweza ukawekeza labda laki sita kwa makubaliano ya kulitu gari kwa labda siku 90 za kufanya kazi ambapo wewe ktk siku hizo ndo inakuwa mmiliki na unachukua hesabu, yakitokea natengeneza mwingine ndani ya muda huo, mnaongea tena kwa kuzingatia makubaliano ya mwanzo kama nilikuwa laki moja inazalisha elfu 50, ni hivo hivo!
 
Kiongozi kama una mtaji ndogo sio lazima ununue gari, unaweza kudhamini gari lililomshinda mwenyewe, na hii ndo njia ya uhakika ya kupata faida, unaweza ukawekeza labda laki sita kwa makubaliano ya kulitu gari kwa labda siku 90 za kufanya kazi ambapo wewe ktk siku hizo ndo inakuwa mmiliki na unachukua hesabu, yakitokea natengeneza mwingine ndani ya muda huo, mnaongea tena kwa kuzingatia makubaliano ya mwanzo kama nilikuwa laki moja inazalisha elfu 50, ni hivo hivo!
Aisee..., but sounds pretty risky..!
 
Kikubwa jitahidi kununua mtumba toka hapo japani ambao unajua unaweza kuja tumia ndania ya miaka miwili na hela yako ikawa imerudi alafu wee unaliuza unaachana na biashara ya kushikilia vitu chakavu ka mtaji ni changamoto unaweza tafuta partner wa biashara mkaunga nguvu mkanunua japo moja au mawili then mnaliweka katika njia ambayo nnzuri yenye hela pia ambayo ni salama kwa gari usiangalie hela tuu pia uzima wa gari bora hesabu ya 90000 kwa siku ila gari likae miaka mingi ka utataka kukaa nalo likae miaka mingi,
pili unatafuta dereva mzuri si yule aliye mwehu na unampangia dereva muda wa kurudisha gari tena ikiwezekana kuwa unalala na gari lako ili uweze kuwa unagundua matatizo madogo madogo yaonekanayo kwa macho, mabas ka ya Kilimanjaro yana pack kwa mzee Sawaya, stanford yanapaki nyumbani kwake, na kampuni nyingine nyingi zifanyazo vzuri zinauongozi thabiti kwahiyo lazima uzingatie hayo ili uweze kuwa na mafanikio katika biashara hii
 
Siri kubwa ya biashara Hii ni kusave Pesa Ukiwa na Tamaa Wewe Kila Pesa Ukilitewa unaspend hutaiweza. Wengi ukichunguza biashara inawashida akiletewa hesabu hajui kusave yeye ni kutumia mpaka Gari Muda mwingine halifanyiwi service Pesa haionekani mpaka madereva Wanalalamik. inapokuja kuchoka unakuta hana kitu zaidi Gari linammaliza yeye.
 
Mtoa mada anaeza kuwa yupo sahihi, kwa kiasi fulani, lakini pia anaweza kuwa amepotoka pakubwa,
Biashara ya daladala ni risky sana, lakini pia ina rewards, kubwa na za mapema, Gari ni moja ya biashara inayoweza kuunyanyua haraka sana , na inaeza kukuangusha fasta pia , kwa maana nyingine. Ni kuwa unapofanya daladala jua muda sahihi wa kuiacha kama unaona huhimili tena mikiki mi kiki ya ke .
wapo baadhi ya wamiliki wa daladala ambao wameweza kukomaa na changamoto za dala dala kwa muda mwingi mfano wapemba, lakin pia.wapo ambao walipotimiza malengo yao waliamua kubaadilisha biashara kuelekea zile ambazo hazina stress kabisa au kidogo, na kundi jingine ndo hao wanaoshindwa kabisa na kufilisika .
I've lost count number of friends ambao.walikuwa wanafanya biashara ya daladala., wakaacha na sasa wapo kwenye bizz nyingine kabisa lkn kwa mitaji iliyotokana na daladala, lkn pia wapo ambao walifilisikia kwenye hizo biashara mpya na ikatafsiriwa kuwa wamefilisika kwenye daladala.
 
Back
Top Bottom