Je, ni kwanini leo mabenki yote ya biashara Tanzania hayataki kuikopesha Serikali kama ilivyokuwa wakati Hayati Rais Magufuli?

Je, ni kwanini leo mabenki yote ya biashara Tanzania hayataki kuikopesha Serikali kama ilivyokuwa wakati Hayati Rais Magufuli?

Kabla ya Rais Samia CRDB walikopesha wakulima kwa 19% leo hii ni 9% tu

Kabla ya Rais Samia NMB walikopesha wafanyakazi kwa 24% leo wanakopa kwa 14-17%

Haya niambieni nani kama Rais Samia?
24% ni wakati wa Mkwele wewe ..

Magufuli anakufa anaacha 18% ndio liba kubwa... Zililiwepo hadi 9%

Hadi Sasa hakuna benki imeshusha riba, isipokuwa zimebadili aina ya Riba na kupandisha masharti ya mkopo.

Mfano . Kuna benki zinakwambia asilimia 13 lakini hadi uupate huo mkopo ni asilimia 16.

Mimi nakujua wewe ni kijujuu Cha BiTozo. Hapo nakukumbusha tu ila sitaki kabisa kupambana na wewe.

Hapo Kafulila anaongelea kipindi yeye akiwa bungeni yaani 2011-2015.
 
Wakati wa Magufuli watu wengi walikufa na presha ya mikopo,
Mabenki yalipiga riba yanazotaka
Mungu mbariki Sana Rais Samia Suluhu Hassan
Hebu jaribu sasa hivi ambapo unasema kuna u afuu, ukope benki halafu usilipe uone kama nyumba haijapigwa mnada!
Mnadanganya watu. Kama ulikopa kipindi cha Magufuli kwa 23% na Bado hujamaloza deni unafikiri sasa utalipa kwa 14%?? Mmekaa ukilaza kilaza hivi.
Pressure ya deni inakuja kama biashara haiendi sawa, kama ulikopa alimuradi wengine wamekopa, kama ulikopa ukaingiza kwenye liability, kama hulipi deni n.k
 
24% ni wakati wa Mkwele wewe ..

Magufuli anakufa anaacha 18% ndio liba kubwa... Zililiwepo hadi 9%

Hadi Sasa hakuna benki imeshusha riba, isipokuwa zimebadili aina ya Riba na kupandisha masharti ya mkopo.

Mfano . Kuna benki zinakwambia asilimia 13 lakini hadi uupate huo mkopo ni asilimia 16.

Mimi nakujua wewe ni kijujuu Cha BiTozo. Hapo nakukumbusha tu ila sitaki kabisa kupambana na wewe.

Hapo Kafulila anaongelea kipindi yeye akiwa bungeni yaani 2011-2015.
Naomba kuchangia pia

Mbona kama unapotosha?

9% ya CRDB ni mwaka huu ndio wameshusha,

16 ya NMB ni mwaka jana,

Nenda kasome tena
 
Hebu jaribu sasa hivi ambapo unasema kuna u afuu, ukope benki halafu usilipe uone kama nyumba haijapigwa mnada!
Mnadanganya watu. Kama ulikopa kipindi cha Magufuli kwa 23% na Bado hujamaloza deni unafikiri sasa utalipa kwa 14%?? Mmekaa ukilaza kilaza hivi.
Pressure ya deni inakuja kama biashara haiendi sawa, kama ulikopa alimuradi wengine wamekopa, kama ulikopa ukaingiza kwenye liability, kama hulipi deni n.k
Watu sio kwamba waligoma kulipa hapana,Shida ilikuwa mzunguko hafifu wa pesa,

Leo mzunguko umeongezeka Sana
 
Naomba kuchangia pia

Mbona kama unapotosha?

9% ya CRDB ni mwaka huu ndio wameshusha,

16 ya NMB ni mwaka jana,

Nenda kasome tena
Soma Tena Uzi wangu. Shida yako umekuja kama mtetezi wa BiTozo wakati Mimi naandika fact tu.
 
Soma Tena Uzi wangu. Shida yako umekuja kama mtetezi wa BiTozo wakati Mimi naandika fact tu.
Ninao wajibu wa kumtetea Rais wangu na huo ndio Uzalendo kwa Taifa langu,

Hoja yako nimeijibu vema kabisa
 
Chadema hoja hamna tena zaidi ya matusi na kashfa
Chadema inahusikaje hapo kwenye ujinga wenu.huna hoja ndo maana umekimbilia kuitaja chadema wakati haihusiki.wewe ni chawa usiye na akli ndo maana huwezi kujenga hoja zaidi ya kusifia ujinga.
 
Chawa wa Samia upo kazin
😀😀😀 Bora chawa kuliko mchwa
24% ni wakati wa Mkwele wewe ..

Magufuli anakufa anaacha 18% ndio liba kubwa... Zililiwepo hadi 9%

Hadi Sasa hakuna benki imeshusha riba, isipokuwa zimebadili aina ya Riba na kupandisha masharti ya mkopo.

Mfano . Kuna benki zinakwambia asilimia 13 lakini hadi uupate huo mkopo ni asilimia 16.

Mimi nakujua wewe ni kijujuu Cha BiTozo. Hapo nakukumbusha tu ila sitaki kabisa kupambana na wewe.

Hapo Kafulila anaongelea kipindi yeye akiwa bungeni yaani 2011-2015.
Hii mpaka mwaka 2020 rates ni hizi, fanya marejeo
 
View attachment 2303324
Sikiliza hii kwa makini mpaka mwisho

Serikali ya Mama Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali kwake wanyonge imeendelea na jitihada zake za kuwapunguzia riba wakopaji wadogo wakati na wakubwa (MSEs, SMEs & Cooperate)

Akihojiwa na kituo cha Utangazaji cha E-FM redio, Mkuu wa Mkoa Simiyu Mhe David Kafulila amefafanua kwanini mabenki yameikimbia serikali kwenye mikopo na badala yake yameelekeza nguvu kwa Watanzania wanyonge, Kafulila anasema,

" Hoja ya kukopa sana ndani kiasi cha kushindana na sekta binafsi ni dhaifu sana kwenye mazingira ya awamu ya sita kwasababu serikali inakopa kwa riba ndogo kiasi cha asilimia 4-5% kwa hatifungani za mwaka mmoja,

Kuna miaka huko nyuma tulipata kukopa soko la ndani kwa hatifungani za mwaka1 kwa riba ya asilimia 17,

Hapo hoja ya kukopa ndani kiasi cha kufanya bank zitamani kufanya biashara na serikali tu ilikuwa na uzito.

Kwani kama serikali inakopa ndani kwa riba 17% kwa hatifungani za mwaka1, niwazi bank zitapandisha zaidi riba kwa sekta binafsi kwa kati ya asilimia 22% mpaka 23%.

Hii sio Serikali 'desperate' hata ishindane na sekta binafsi kukopa ndani. Hata hali ya deni inaonesha hivyo kwamba deni la ndani ni kama asilimia 30% ya deni lote.

Ndio maana ni Rais SSH alielekeza Bank kuu( BoT) kutenga trilioni1 kukopesha bank za biashara kwa riba ya chini kimkakati ili bank hizo zikopeshe sekta ya kilimo kwa riba isiozidi 10%.

Hii ni 'stimulus package' kabisa kwenye kuinua sekta ya kilimo. "- David Kafulila
Hivi wewe mtoa mada umesoma maelezo ya Kafulira? Una mtindio wa Ubongo sio bure..

Umeambiwa Serikali ilitenga 1T Ili kukopesha mabenki Ili nayo yakopeshe sekta binafsi hasa za kimkakati kwa ajili ya kuongeza ukwasi kweli uchumi na kuchochea uzalishaji.

Sasa Wewe huoni ni economic tool ya serikali kuongeza mzunguko wa Fedha kwenye uchumi na kuchechua uwekezaji na uzalishaji?

Serikali ikikopa Sana watu wakawaida unapita wanyonge watakosa pesa hivyo ukata kuwa mkubwa mtaani..

Hata hivyo msikilize Mwigulu hapa 👇
 

Attachments

  • 2022030133155.jpg
    2022030133155.jpg
    94.8 KB · Views: 3
Wewe nae huishia kukurupuka. Aishi.

Magufuli alishusha sana riba. Kasome Tena ili kichwa kichangamke maana unatia aibu.

Hapo Kafulila kaingelea kipindi akiwa bungeni. Yaani kabla ya 2015.
Alishusha Sana riba kutoka ngapi kuwa ngapi?

We don't want more words from your dirty mouth weka namba ndio zinaongea.
 
24% ni wakati wa Mkwele wewe ..

Magufuli anakufa anaacha 18% ndio liba kubwa... Zililiwepo hadi 9%

Hadi Sasa hakuna benki imeshusha riba, isipokuwa zimebadili aina ya Riba na kupandisha masharti ya mkopo.

Mfano . Kuna benki zinakwambia asilimia 13 lakini hadi uupate huo mkopo ni asilimia 16.

Mimi nakujua wewe ni kijujuu Cha BiTozo. Hapo nakukumbusha tu ila sitaki kabisa kupambana na wewe.

Hapo Kafulila anaongelea kipindi yeye akiwa bungeni yaani 2011-2015.
CRDB wanakopesha kwa 13% biashara na kwenye kilimo ni 9%
 
24% ni wakati wa Mkwele wewe ..

Magufuli anakufa anaacha 18% ndio liba kubwa... Zililiwepo hadi 9%

Hadi Sasa hakuna benki imeshusha riba, isipokuwa zimebadili aina ya Riba na kupandisha masharti ya mkopo.

Mfano . Kuna benki zinakwambia asilimia 13 lakini hadi uupate huo mkopo ni asilimia 16.

Mimi nakujua wewe ni kijujuu Cha BiTozo. Hapo nakukumbusha tu ila sitaki kabisa kupambana na wewe.

Hapo Kafulila anaongelea kipindi yeye akiwa bungeni yaani 2011-2015.
nadharia tu hii aise.
 
Back
Top Bottom