MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Hivi mnaota mchana huu? Rwanda kuitwaa Zaire pekee hawakuweza bila msaada wa majeshi mengine ikiwemo ..... Rwanda labda amuonee Burundi tu na pengine akala kichapo!Ni kweli ndugu kwa sasa Rwanda inapata taarifa yoyote ile kwenye Nchi nyingi za Africa kutokana na tabia yao ya kuweka watu wao katika sehemu nyeti za Nchi nyingi za Africa.Ukienda jeshini wapo, ukienda ikulu unakuta ndo walinzi wenyewe.sasa hapo unachomokaje ndugu?.
Kagame akiamua wiki 1 tu inatosha kwake kuchukua Easte Africa yote na vitongoji vyake.
Rwanda inaweza kupigwa na rasilimali jeshi za mkoa wa Kagera pekee achilia mbali nchi nzima. Hata wao wanajua ...