Je, ni kwanini ngono hufanyika kwa kificho?, what is the evolutionary significance of such a behaviour in humans?

Je, ni kwanini ngono hufanyika kwa kificho?, what is the evolutionary significance of such a behaviour in humans?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Katika suala la natural selection and elimination ni kwamba wale tu ambao wanastahimili mazingira husika ndio hubakizwa na wengine wasioweza kuvumilia hufyekelewa mbali.

Mfano ni wale twiga wenye shingo fupi walivyokufa kwa njaa na kuwaacha wale wenye shingo ndefu za kufikia majani laini yenye virutubisho juu, na hatimaye twiga wote sasa wana shingo ndefu, hiyo ndio evolution.

Sasa je, katika mustakabali huo huo, ni kwanini 'evolution' iliwabakiza binadamu wenye aibu ya ngono (wanaofanya chumbani/gizani/ mafichoni) na kuwafyekelea mbali wale waliokuwa wakifanya ngono hadharani/ mchana kweupe?

what is the evolutionary significance of such a selection of one over the latter? Tujadili bila aibu.
==============================
Jibu: Post na 41
 
akili za bangi hizo ila si kila kichwa kinafaa kutumia ule mmea pendwa wa jamaika
 
weka ushahidi kama walikuwepo waliokuwa wanafanya mapenzi hadharani acha kuunga unga mambo ili tu ufungue sredi huku jamvini
Angalia wanyama, karibu wote wanafanya ngono hadharani, hata wale wa karibu yetu kabisa kwenye family ya primates (nyani, ngedere, tumbili,sokwe mtu nk.) hufanya hadharani, mchana na hata kwenye kadamnasi, humans have ascended through evolution from other subspecies as i have named, hivyo lazima wapo binadamu hapo awali waliokuwa wakidabuana hadharani, so why were they naturally eliminated by evolution?
 
[emoji1787][emoji1787] hebu jaribu kugegeda hadharani siku moja afu uone itakuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mmoja wa hao binadamu ambao wana aibu kali sana ya kufanya ngono hadharani,hivyi siwezi fanya hilo, sasa je, why has evolution favoured sexual shyness over the other?
 
Sawa tunafanya sirini lkn Kuna mnyama gani anatuzidi uzalianaji..? Hata nyumbu hawaoni ndani😂
Tuko vizuri mkuu..

Ufahamu na utashi wa mwanadamu ndio haswa unatufanya tuone aibu kufanya jambo hilo hadharani.. mtu atendae kinyume na ufahamu wa binadamu huvuliwa utu na kuitwa chizi ama mwenye akili kama mnyama!!
Pia jambo hilo limeumbika kama tamaduni ama tabia,Kama huko zamani walilichukulia kama Jambo la faragha nasi tumerithi ila ingekuwa kinyume chake pia tungerithi..!
 
Hii toka ze Hague?
Au Tundu Lissu je? Hajasema juu ya hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilivyo kwenye siasa basi kila idara ina kambi rasmi ya upinzani...kwe mapenzi nako kuna upinzani ndo maana watu huoana kuacha majimbo wazi kwa ajili ya wadau wengine ama kuwa na vichencede vingi ilihali kuna wengine wanahusle kutafuta hata mmoja
 
Baada ya Mungu kuwalaani adamu na eva pale eden ndipo aibu ilipoingia wakajiona wapo uchi, wakaanza kujificha, kama kuwa uchi tu waliona aibu, itakuwaje kufanya mapenzi hadharani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Don't tell me unaiamini hiyo hadithi ya watoto.., come on brother...
 
Kuna mtu anayeoga hadharani au kutembea uchi hadharani? Kwa hiyo hoja si kufanya mpenzi Bali sehemu za siri kuwekwa hadharani
 
Lile ni jambo la faragha na linafanyika akili ikitambua hapa hamna anetuona. Sasa huwezi fanya hadharani yaani hata viungo husika havitokubali!

Jamaa 1 aliwahi kwenda msumbiji kikanuka huko, sasa wakati akichanja mbuga porini kurudi Mtwara akakutana na lory limeharibika. driver na tingo wake wanaandaa chakula wale. Jamaa akakaribishwa bahati nzuri wakafahamiana kumbe wote ni waTz.

Msosi ukapakuliwa ile wamenawa waanze kufinya ghafla wakavamiwa, wenyeji waka wapole yule mgeni kawa mbishi. Hajalazimishwa azamishe mboo kwenye ugali na ni wa moto! Ile kufungua zipu kitu imesinyaa nyeusi mbaya.

Kufupisha story hilo jambo kama unazo timamu huwezi fanya hata ushikiwe mtutu itakuwa kama kushindilia shipa lilolegea kwa shimo na ile dude haitaki ulazima huo!
 
Don't tell me unaiamini hiyo hadithi ya watoto.., come on brother...
Lini binadamu walikua na kawaida ya kufanya hadharani.?
Njoo na ushahidi kwanza mkuu
Nb:si mfuasi wa Darwinism kuwa tumetokana na sokwe .,naamini uumbaji wa Mungu
 
Katika Viumbe Vyote vilivuoumbwaaaaaa
Binadamu kaumbikaaa Kuliko vyoteeeeee!!!

Safari Larger na Pilsner Bia zangu Nzuri
 
Back
Top Bottom