Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,735
- 8,541
Hata mabinti za Luthu Lazima walifanya hadharani ndo maana ikajulikana.. au Nani alisimulia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mabinti za Luthu Lazima walifanya hadharani ndo maana ikajulikana.. au Nani alisimulia?
Katika suala la natural selection and elimination ni kwamba wale tu ambao wanastahimili mazingira husika ndio hubakizwa na wengine wasioweza kuvumilia hufyekelewa mbali.
Mfano ni wale twiga wenye shingo fupi walivyokufa kwa njaa na kuwaacha wale wenye shingo ndefu za kufikia majani laini yenye virutubisho juu, na hatimaye twiga wote sasa wana shingo ndefu, hiyo ndio evolution.
Sasa je, katika mustakabali huo huo, ni kwanini 'evolution' iliwabakiza binadamu wenye aibu ya ngono (wanaofanya chumbani/gizani/ mafichoni) na kuwafyekelea mbali wale waliokuwa wakifanya ngono hadharani/ mchana kweupe? what is the evolutionary significance of such a selection of one over the latter? Tujadili bila aibu.
Mkuu hakuna ushahidi wa kuaminika kwamba walikuwa wanafanya hadharaniAngalia wanyama, karibu wote wanafanya ngono hadharani, hata wale wa karibu yetu kabisa kwenye family ya primates (nyani, ngedere, tumbili,sokwe mtu nk.) hufanya hadharani, mchana na hata kwenye kadamnasi, humans have ascended through evolution from other subspecies as i have named, hivyo lazima wapo binadamu hapo awali waliokuwa wakidabuana hadharani, so why were they naturally eliminated by evolution?
Labda mleta Uzi angetoa jibu ni kwanini sokwe wanaendelea kuwa sokwe na si binadamu!Lini binadamu walikua na kawaida ya kufanya hadharani.?
Njoo na ushahidi kwanza mkuu
Nb:si mfuasi wa Darwinism kuwa tumetokana na sokwe .,naamini uumbaji wa Mungu
Angalia wanyama, karibu wote wanafanya ngono hadharani, hata wale wa karibu yetu kabisa kwenye family ya primates (nyani, ngedere, tumbili,sokwe mtu nk.) hufanya hadharani, mchana na hata kwenye kadamnasi, humans have ascended through evolution from other subspecies as i have named, hivyo lazima wapo binadamu hapo awali waliokuwa wakidabuana hadharani, so why were they naturally eliminated by evolution?
Tumekatazwa na spika kuchangia hoja yoyoteNasubiri maoni ya kambi rasmi ya upinzani!
Katika suala la natural selection and elimination ni kwamba wale tu ambao wanastahimili mazingira husika ndio hubakizwa na wengine wasioweza kuvumilia hufyekelewa mbali.
Mfano ni wale twiga wenye shingo fupi walivyokufa kwa njaa na kuwaacha wale wenye shingo ndefu za kufikia majani laini yenye virutubisho juu, na hatimaye twiga wote sasa wana shingo ndefu, hiyo ndio evolution.
Sasa je, katika mustakabali huo huo, ni kwanini 'evolution' iliwabakiza binadamu wenye aibu ya ngono (wanaofanya chumbani/gizani/ mafichoni) na kuwafyekelea mbali wale waliokuwa wakifanya ngono hadharani/ mchana kweupe? what is the evolutionary significance of such a selection of one over the latter? Tujadili bila aibu.
Akijibu hapa nistueLabda mleta Uzi angetoa jibu ni kwanini sokwe wanaendelea kuwa sokwe na si binadamu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekatazwa na spika kuchangia hoja yoyote
umewahi kuona paka wakijamiiana!? au unatusingizia sisi wanadamu, by the way siku hzi tunabanduana mchana kweupe tu!.Angalia wanyama, karibu wote wanafanya ngono hadharani, hata wale wa karibu yetu kabisa kwenye family ya primates (nyani, ngedere, tumbili,sokwe mtu nk.) hufanya hadharani, mchana na hata kwenye kadamnasi, humans have ascended through evolution from other subspecies as i have named, hivyo lazima wapo binadamu hapo awali waliokuwa wakidabuana hadharani, so why were they naturally eliminated by evolution?
Tembea uchi basi!Angalia wanyama, karibu wote wanafanya ngono hadharani, hata wale wa karibu yetu kabisa kwenye family ya primates (nyani, ngedere, tumbili,sokwe mtu nk.) hufanya hadharani, mchana na hata kwenye kadamnasi, humans have ascended through evolution from other subspecies as i have named, hivyo lazima wapo binadamu hapo awali waliokuwa wakidabuana hadharani, so why were they naturally eliminated by evolution?
Sodoma & Gomora, maandiko yapo.Angalia wanyama, karibu wote wanafanya ngono hadharani, hata wale wa karibu yetu kabisa kwenye family ya primates (nyani, ngedere, tumbili,sokwe mtu nk.) hufanya hadharani, mchana na hata kwenye kadamnasi, humans have ascended through evolution from other subspecies as i have named, hivyo lazima wapo binadamu hapo awali waliokuwa wakidabuana hadharani, so why were they naturally eliminated by evolution?
Sawa sijabisha, ila kwanini evolutions imebakiza aina hiyo ya 'trait' na kuondoa the contrary?Lile ni jambo la faragha na linafanyika akili ikitambua hapa hamna anetuona. Sasa huwezi fanya hadharani yaani hata viungo husika havitokubali!
Jamaa 1 aliwahi kwenda msumbiji kikanuka huko, sasa wakati akichanja mbuga porini kurudi Mtwara akakutana na lory limeharibika. driver na tingo wake wanaandaa chakula wale. Jamaa akakaribishwa bahati nzuri wakafahamiana kumbe wote ni waTz.
Msosi ukapakuliwa ile wamenawa waanze kufinya ghafla wakavamiwa, wenyeji waka wapole yule mgeni kawa mbishi. Hajalazimishwa azamishe mboo kwenye ugali na ni wa moto! Ile kufungua zipu kitu imesinyaa nyeusi mbaya.
Kufupisha story hilo jambo kama unazo timamu huwezi fanya hata ushikiwe mtutu itakuwa kama kushindilia shipa lilolegea kwa shimo na ile dude haitaki ulazima huo!
Ukweli si imani, ukweli ni ukweli na unakuwa supported na evidence. Evolution in evidence za kila aina, mfano 'Vestiges', tafuta uzi wangu wa 'vestiges'Lini binadamu walikua na kawaida ya kufanya hadharani.?
Njoo na ushahidi kwanza mkuu
Nb:si mfuasi wa Darwinism kuwa tumetokana na sokwe .,naamini uumbaji wa Mungu
Evolution can take millions of years,uts hardly a few thousand years tangu tumeanza kuweka records as humans, so subiri a couple of a million years..Labda mleta Uzi angetoa jibu ni kwanini sokwe wanaendelea kuwa sokwe na si binadamu!
Sent using Jamii Forums mobile app
'...karibu wote...' ni tofauti na 'wote'umewahi kuona paka wakijamiiana!? au unatusingizia sisi wanadamu, by the way siku hzi tunabanduana mchana kweupe tu!.
Siwezi na sijasema naweza, elewa uzi.Tembea uchi basi!