Je, ni kwanini ngono hufanyika kwa kificho?, what is the evolutionary significance of such a behaviour in humans?

Je, ni kwanini ngono hufanyika kwa kificho?, what is the evolutionary significance of such a behaviour in humans?

Mkuu jambo hili hata leo tukasema tulifanye hadharani, wanaume tutadhalilika sana kuliko wanawake.

Jambo hilo kulianza halina shida, tatizo linakuja kwenye umaliziaji, wee...wee!

Watu wasingelifanyakazi kushuhudia wenzao wanavyotoa mate ya udenda na kilio cha dhahiri, we'unadhani kama ambavyo movie ya gwajiboy ilivyochezwa, utasema kutakuwa na kazi hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe naanza kukuelewa, So unamaanisha kwakuwa binadamu wote tunapenda kuendeleza genes zetu hivyo tunatamani kushiriki tendo na mtu hata ambae anashiriki tayari, kiasi tunaweza kuingilia kati na kumfukuza mwingine ili sisi ndio tupandikize genes zetu, ni kama chui anavyoenda kula juu ya mti kwa kujificha ili asipokwe chakula chake na wengine, aisee nimekuelewa kwanini evolution imewaondoa waliofanya hadharani, maana walivamiwa na kunyang'anya papuchi huku wanajiona na hivyo wakashindwa kuendeleza genes zao, kumbuka anaekunyang'anya papuchi anaenda kuila kwa kujificha ili usije ukaipora na wewe..., aise una akili sana..!!!
 
Ukweli si imani, ukweli ni ukweli na unakuwa supported na evidence. Evolution in evidence za kila aina, mfano 'Vestiges', tafuta uzi wangu wa 'vestiges'
Sina haja ya kuutafuta
Kama evolution ni ukweli niambie kwanini sokwe wa sasa habadiliki kuwa binadamu.,
 
Sina haja ya kuutafuta
Kama evolution ni ukweli niambie kwanini sokwe wa sasa habadiliki kuwa binadamu.,
Mabadiliko noticeable huchukua milions of years kutokea, hivyo subiri miaka milioni wa 3 hadi 10 halafu rudi utuoe mrejesho kama wamebadilika kulingana na mazingira au la. Mfano ambao tumeona leo ni jinsi tembo wenye pembe kubwa wanavyouawa na majangili na wale wenye vipembe vidogo wanavyoachwa waendelee kuzaliana na hivyo baadae watabaki wenye pembe ndogo tu na hapo ndio tunasema wamebadilika through natural selection and elimination..
 
Katika suala la natural selection and elimination ni kwamba wale tu ambao wanastahimili mazingira husika ndio hubakizwa na wengine wasioweza kuvumilia hufyekelewa mbali.

Mfano ni wale twiga wenye shingo fupi walivyokufa kwa njaa na kuwaacha wale wenye shingo ndefu za kufikia majani laini yenye virutubisho juu, na hatimaye twiga wote sasa wana shingo ndefu, hiyo ndio evolution.

Sasa je, katika mustakabali huo huo, ni kwanini 'evolution' iliwabakiza binadamu wenye aibu ya ngono (wanaofanya chumbani/gizani/ mafichoni) na kuwafyekelea mbali wale waliokuwa wakifanya ngono hadharani/ mchana kweupe?

what is the evolutionary significance of such a selection of one over the latter? Tujadili bila aibu.
==============================
Jibu: Post na 41
Kumbe walikuwepo waliofanya hadharani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maumbile ya kufanyika hayo mambo hayapo wazi pia...yanatuelekeza usiri fulani hivi .
Ila ni kwa Binadamu na baadhi ya viumbe kama paka ambao kupeana mambo kwa usiri sana.
 
Angalia wanyama, karibu wote wanafanya ngono hadharani, hata wale wa karibu yetu kabisa kwenye family ya primates (nyani, ngedere, tumbili,sokwe mtu nk.) hufanya hadharani, mchana na hata kwenye kadamnasi, humans have ascended through evolution from other subspecies as i have named, hivyo lazima wapo binadamu hapo awali waliokuwa wakidabuana hadharani, so why were they naturally eliminated by evolution?
Dogo unafeli. Hujui tofauti ya mnyama nyani na mnyama binadamu? Ok. Fanya hivi, binadamu ni mnyama lakini anajisitiri kwa mavazi, anajenga makazi, anahifadhi chakula, anaboresha huduma za kijamii eg afya nk, kwahiyo bado unajiweka kundi moja na mbwa na kujishangaa kwanini hufanyi matusi hadharani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwili ni km bustani maridhawa.
Tizama toka kichwani mpaka nyayoni kwako katikati ni wapi!

Haya kutoka kushoto hadi kulia katikati ni wapi!

Tangu zama marufuku kula matunda haya, hapa watu wawili mmoja analisha kutoka mti uliosimama mwingine anameza yatokayo mtini, tena mti wote na matawi yake.

Walivo waroho sasa akimeza, Matunda tu usimkatishe, na uzuri atashiba miezi tisa.

Tunapata shida Duniani leo ajili ya hivi vidude. Lazima tufiche,tatizo lililo tufikishia shida hii.
ukifanikiwa kuviacha kabisa nakuhakikishia utaishi vizuri ajabu km huamini jaribu kuacha miaka 3 tu usidindishe wala kuongea na Dem.
 
Back
Top Bottom