Je, ni kwanini ngono hufanyika kwa kificho?, what is the evolutionary significance of such a behaviour in humans?


Kwanza kabisa, je tutaamini vipi kuwa hiyo nadharia yenyewe ya evolution ni kama moja ya false ideas?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hakuna ushahidi wa kuaminika kwamba walikuwa wanafanya hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app
 

You have a point...big one...i like ur theory it make sense on a really world...
 

Kiongozi nimekuelewa sana...unajua mnooo...ur very right ur Assumption make alot of sense...
 
umewahi kuona paka wakijamiiana!? au unatusingizia sisi wanadamu, by the way siku hzi tunabanduana mchana kweupe tu!.
 
Ngono hufanyiwa sirini kwasababu viungo vinavyohusika kwenye huo mziki vyote ni vya siri.
 
Tembea uchi basi!
 
Sodoma & Gomora, maandiko yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu jambo hili hata leo tukasema tulifanye hadharani, wanaume tutadhalilika sana kuliko wanawake.

Jambo hilo kulianza halina shida, tatizo linakuja kwenye umaliziaji, wee...wee!

Watu wasingelifanyakazi kushuhudia wenzao wanavyotoa mate ya udenda na kilio cha dhahiri, we'unadhani kama ambavyo movie ya gwajiboy ilivyochezwa, utasema kutakuwa na kazi hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa sijabisha, ila kwanini evolutions imebakiza aina hiyo ya 'trait' na kuondoa the contrary?
 
Lini binadamu walikua na kawaida ya kufanya hadharani.?
Njoo na ushahidi kwanza mkuu
Nb:si mfuasi wa Darwinism kuwa tumetokana na sokwe .,naamini uumbaji wa Mungu
Ukweli si imani, ukweli ni ukweli na unakuwa supported na evidence. Evolution in evidence za kila aina, mfano 'Vestiges', tafuta uzi wangu wa 'vestiges'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…