yaliyomoyamo
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 537
- 325
Mada nzuri sana, pia usisahau na viuatilifu, dawa za kuua wadudu mashambani, zinazopigwa kwenye mazao kama nyanya, matango, cabbage, karoti, matikiti, parachichi, matunda aina zote na mboga mboga! Dawa za kuua wadudu zinachangia sana kueneo kwa saratani!
Pia dawa za kuhifadhia samaki na hata nyama zisiharibike kwenye majokofu! Wengine wanahifadhia dawa za maiti isiharibike!
Bila kusahau madawa na chanjo za mifugo kama kuku, bata, kanga, kware, sungura, mbuzi, ng'ombe na nguruwe! Hawa wanyama wanapewa madawa mengi sana ya kuwanenepesha haraka hata kupewa dawa za kupunguza makali ya H.I.V yaani ARV's na pia chanjo za kuzuia magonjwa ambazo nyingine ni hatari kwa afya ya mlaji...!
Kwakweli watanzania tunalishwa sumu nyingi sana! Mungu tu atusaidie!
Adios Amigo!
Pia dawa za kuhifadhia samaki na hata nyama zisiharibike kwenye majokofu! Wengine wanahifadhia dawa za maiti isiharibike!
Bila kusahau madawa na chanjo za mifugo kama kuku, bata, kanga, kware, sungura, mbuzi, ng'ombe na nguruwe! Hawa wanyama wanapewa madawa mengi sana ya kuwanenepesha haraka hata kupewa dawa za kupunguza makali ya H.I.V yaani ARV's na pia chanjo za kuzuia magonjwa ambazo nyingine ni hatari kwa afya ya mlaji...!
Kwakweli watanzania tunalishwa sumu nyingi sana! Mungu tu atusaidie!
Adios Amigo!