Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

Mada nzuri sana, pia usisahau na viuatilifu, dawa za kuua wadudu mashambani, zinazopigwa kwenye mazao kama nyanya, matango, cabbage, karoti, matikiti, parachichi, matunda aina zote na mboga mboga! Dawa za kuua wadudu zinachangia sana kueneo kwa saratani!

Pia dawa za kuhifadhia samaki na hata nyama zisiharibike kwenye majokofu! Wengine wanahifadhia dawa za maiti isiharibike!

Bila kusahau madawa na chanjo za mifugo kama kuku, bata, kanga, kware, sungura, mbuzi, ng'ombe na nguruwe! Hawa wanyama wanapewa madawa mengi sana ya kuwanenepesha haraka hata kupewa dawa za kupunguza makali ya H.I.V yaani ARV's na pia chanjo za kuzuia magonjwa ambazo nyingine ni hatari kwa afya ya mlaji...!

Kwakweli watanzania tunalishwa sumu nyingi sana! Mungu tu atusaidie!

Adios Amigo!
 
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Ni tatizo la dunia
 
Duuh
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Duuh,tuvute Jamaa zako tusiangamie Mkuu!Tuje Canada.
 
Wazeee wetu wameishi kwenye mchele ngano na dona plus mbege miaka yao tisini. Zote hizo ni carbohydrates leading to glucose.

With all that ,,Hawajui sukari, presha wala figo, wengi wqmekufa just for old age

Iweje nyie vijana wa 30 na 40 to 50 , ulaji wa ngano sembe na dona na mchele iwaletee figo na sukari

Unaweza kutoa Data to support your claim , mind that everything in excess is harmful including water
Unalima kama wazee wako?
Unatembea kama wao ama kila sehemu lazima uende na gari??

Waliandaa nafaka zao wenyewe
Tofautisha mbege (natural) na spirits hizi kali sijui Hennesy sijui Kvant
Lifestyle ni tatizo
Mtu akiwa na hela anakuwa limbukeni badala ale vitu natural zaidi
 
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Dokta, bandiko lako ni very sensitive lakini limekosa hata quotes 5?, sasa sisi vijana wenu wa veta wataandikaje?
 
Nakubaliana na wewe

Products nyingi za supermaket ni expired. Wanachange date, sometimes wanagonga na mihuri. Well, as you know waafrica sio waaminifu… na hii inaanzia kwa viongozi wao wa Juu.

Hili eneo government kupitia mamlaka za udhibiti need counterintelligence to protect the country or else kila nyumba itafikiwa
Supermarket ni pa kununua dawa za washroom na tissue paper
Tununue vitu fresh masokoni
Ngano ni ya kupunguza kama sio kuachana nayo kabisa
 
Mada nzuri sana, pia usisahau na viuatilifu, dawa za kuua wadudu mashambani, zinazopigwa kwenye mazao kama nyanya, matango, cabbage, karoti, matikiti, parachichi, matunda aina zote na mboga mboga! Dawa za kuua wadudu zinachangia sana kueneo kwa saratani!

Pia dawa za kuhifadhia samaki na hata nyama zisiharibike kwenye majokofu! Wengine wanahifadhia dawa za maiti isiharibike!

Bila kusahau madawa na chanjo za mifugo kama kuku, bata, kanga, kware, sungura, mbuzi, ng'ombe na nguruwe! Hawa wanyama wanapewa madawa mengi sana ya kuwanenepesha haraka hata kupewa dawa za kupunguza makali ya H.I.V yaani ARV's na pia chanjo za kuzuia magonjwa ambazo nyingine ni hatari kwa afya ya mlaji...!

Kwakweli watanzania tunalishwa sumu nyingi sana! Mungu tu atusaidie!

Adios Amigo!
Huu ndo mtihani mkubwa mana tunaelezwa tule natural
Vya natural vyenyewe sasaaa🙌🏽
 
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Mkuu umepiga mle mle.
KILIMO: Viatilifu vinavyotumika mashambani ni fake, lknkuna swala la hili la kilimo biashara ambapo mkulima anataka kuzalisha zaidi kwa gharama ndogo ,hii hupelekea kutumia madawa zaidi, mfano 2-4-D kemikali inayosemekana kuwa kisababishi cha kansa. Usiombe uone kilimi cha nyanya, viazi mviringo, tikiti , hutatamani ule.

MIFUGO: Inafugwa na kunenepeshwa kwa vitu visivyo , kuanzia kuku, na wanyamwa wa kuchinjwa
MADAWA: Dawa sub standard zinaingizwa na mamlaka zipo tu,nakumbuka mtu aliyekamatwana madawa fake ya kilimo utajiuliza yalipitaje?
GMO: Huko vijijini sasa mbegu za zamani hazipo tunatumia mahindi kwa mfano ya kulima mara moja huwezi kupanda generation ya pili
Yapo maembe ya ajabu yanapata matunda mara 2 au 3. Imeisha, nilishangaa kuona embe linabeba tunda likiwa urefu wa sm 20,(very drwalf) Huzi tasisi zetu kazi kubariki tafiti za watu wengine wa nje bila kujihoji.
MTINDO WA MAISHA. Ujinga umeenea kwenye jamii usiopimika ukiuliza kwanini unakunywa hiyo energy drink unapata nini? Eti ni sifana heshima, wakati namna za maisha zimebadilika,kazi na shughuli za maisha watu wanashindwa kubadili wale na wanywe nini? Wengi wanapata uzito usio na maana, vyakula vilivyosindikwa au kuondolewa virutubisho, halafu serkali imeruhusu kuondoa vorutubisho bna baadae kufanya fortification so what?.
MAMLAKA ZA KUTHIBITI UBORA. Hizi ni kama hazipo
Sasa serkali itatumia hela nyingi kutibu magonjwa yasiyoambukizwa kuliko ya kuambukizwa.
Anyway tujiandae kila mmoja ni mtahiniwa wa hayo ila unaweza kupunguza. Tumia akili
 
Mafuta ya Alzeti yamekuwa promoted sana ila nayo ni tatizo
Mi natumia Butter tu sikuhz
Ni kweli mafuta mengi tunayotumia hutuletea shida yakiwemo na hayo ya alizeti, mafuta mengi tunayotumia tunapata omega 6 kwa wingi zaidi kuliko omega 3. Hata hiyo Butter hufaa ile ya asili kuliko ya kugandishwa viwandani.
 
Ni kweli mafuta mengi tunayotumia hutuletea shida yakiwemo na hayo ya alizeti, mafuta mengi tunayotumia tunapata omega 6 kwa wingi zaidi kuliko omega 3. Hata hiyo Butter hufaa ile ya asili kuliko ya kugandishwa viwandani.
Natural butter napata wapi hapa TZ
 
Back
Top Bottom