Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

In a capitalist world you cant fight them( RICH GANGSTERS) and win.

📌📌Kwanini nyie wasomi msihimize raia kujiepusha na hivyo vitu maana hakuna sheria ya kulazima watu walewe au wanywe hizo energy drinks.Kwahiyo bado inabaki kuwa ni hiyari ya mtu binafsi na utashi wake.
Jukumu la serikali
 
UNATAKA AWASHIKIE FIMBO.WEWE UTAKUWA UNAPERSONAL ISSUES NA JANABI.

MWENZAKO ANATUMIA JUKWAA ALILOPO KATIKA KUSHARE KIDOGO NA KATIKA LUGHA AMBAYO HATA WAJINGA WAJINGA HUKO MTAANI WANAELEWA.

WEWE ULITAKA AFANYAJE KATIKA HII CORRUPT COUNTRY NA MAMLAKA HUSIKA ZIPO PARALIZED!!!

📌📌📌HIYO KUWA PHD CANDIDATE INAKULEVYA UNAJIHISI UMEMALIZA😄😄😄.UNAONYESHA TABIA ZA KIAFRICA TYPICALLY🙌🙌🙌
Umeni attack, hujafocus kwenye point dogo
 
Wazeee wetu wameishi kwenye mchele ngano na dona plus mbege miaka yao tisini. Zote hizo ni carbohydrates leading to glucose.

With all that ,,Hawajui sukari, presha wala figo, wengi wqmekufa just for old age

Iweje nyie vijana wa 30 na 40 to 50 , ulaji wa ngano sembe na dona na mchele iwaletee figo na sukari

Unaweza kutoa Data to support your claim , mind that everything in excess is harmful including water
Mkuu wazee wa zamani walikuwa wanafanya kazi ambazo zilikuwa zinatumia nguvu nyingi kama vile kulima kwahiyo miili yao ilitumia glucose nyingi ila vijana wa sasa wengi kazi zao hazitumii nguvu nyingi kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia.
 
Ni kweli kuwa asilimia 98 ya watanzania hawana/ hawajui elimu ya lishe.

Pamoja na ukweli huo, ni muhimu kujiuliza, "uchunguzi wa kisayansi kuhusiana na magonjwa hayo (Kisukari, Shinikizo la juu/chini la damu, moyo, Kansa,Figo na Ini) unaonyesha nini?

Nini husababisha magonjwa hayo?
 
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
You said it all cheif.
 
Ni kweli kuwa asilimia 98 ya watanzania hawana/ hawajui elimu ya lishe.

Pamoja na ukweli huo, ni muhimu kujiuliza, "uchunguzi wa kisayansi kuhusiana na magonjwa hayo (Kisukari, Shinikizo la juu/chini la damu, moyo, Kansa,Figo na Ini) unaonyesha nini?

Nini husababisha magonjwa hayo?
Life style ndo chanzo kikuu cha magonjwa hayo.
 
images (2).jpeg

Hiki kitabu kimeeleza kwa kina jinsi wanga,sukari pamoja mafuta ya mbegu za mime(mafuta ya kula) jinsi yanavyo sababisha maradhi tunayosumbuka nayo sasa.
 
Life style ndo chanzo kikuu cha magonjwa hayo.okay

Life style ndo chanzo kikuu cha magonjwa hayo.
Kwanini wengi mna komalia life style ? Yes ni among the other factors ; but life style sio cause relationships.

Kama tukiwa na life style nzuri….. but masokoni kumejaa toxic foods ….. would life style be beneficial?

Cut off point ni UDHIBITI. Ukisolve hilo utasolve lots

Kuna watu wapo prone kwa hayo magonjwa… yaani miili yao inasubiri tu declencher , so hata kama una life style nzuri but unakunywa one glass of wine fake …. Just glass moja tu ….. tayar imekula kwako

Unakula matikiti hayanq hata mbegu….. unaingiza declencher mwilini , over time … accumulation inatokea you are Fired on earth .

So point ipo kwenye UDHIBITI… majority wataokoka na kuwa salaama
 
Kwanini wengi mna komalia life style ? Yes ni among the other factors ; but life style sio cause relationships.

Kama tukiwa na life style nzuri….. but masokoni kumejaa toxic foods ….. would life style be beneficial?

Cut off point ni UDHIBITI. Ukisolve hilo utasolve lots

Kuna watu wapo prone kwa hayo magonjwa… yaani miili yao inasubiri tu declencher , so hata kama una life style nzuri but unakunywa one glass of wine fake …. Just glass moja tu ….. tayar imekula kwako

Unakula matikiti hayanq hata mbegu….. unaingiza declencher mwilini , over time … accumulation inatokea you are Fired on earth .

So point ipo kwenye UDHIBITI… majority wataokoka na kuwa salaama
Mkuu kwani mtu analazimishwa kula hizo junk foods?
Halafu sijawahi ona tikiti halina mbegu labda kama ununue yaliyokuwa processed viwandani. Na pia kwenye issue za wine kama hujaona nembo ya tbs kwenye vinywaji achana navyo.
Kwahiyo mkuu kula junk foods, processed fruits na vinywaji ambavyo havijathibitishwa na tbs zote hizi ni lifestyle ya mtu kwani hakuna anayelazimishwa kunywa pombe au kula junk foods.
 
Mnaishi kama machokoraa au mbwa waliokosa mfugaji
KWENDA CANADA HAKUJAKUSAIDIA😄😄😄

YOU CANT RUN FROM YOUR FATE,WEWE NI MTU MWEUSI NA UTABAKI MTU MWEUSI KITABIA NA KIFIKRA.

📌📌USOMI WAKO HUO WA KIOPPORTUNISTIC HAUNA FAIDA YOYOTE UKITOA HIO WHO AMBAYO TRUMP ANAENDA KUISAMBARATISHA.KISHA UTARUDI HUKU MAVUMBINI KUJIKOMBAKOMBA NA KUNYEMELEA TEUZI.


📌NYIE WASOMI UCHWARA,WAOGA WA MAISHA HAMNA KITU NA ELIMU ZENU ZA KUUNGAUNGA.
 
vipi wadau mnazungumziaje wanaotumia ARV?? wengi wanakufa kwa figo kansa na ini kuliko hata kufa kwa ukimwi wenyewe....hilo vip ?? au ARV zinazokuja afrika ni feki???
 
Jukumu la serikali
Jukumu la afya yako mwenyewe unaipa serikali.Msomi kama wewe unatoa hoja mufilisi kama hii😄😄😄u cant be serious!!!

📌📌📌Mmezoeshwa vibaya hii collective responsibility inawalemaza, jamii ya kiafrika inatakiwa ianze kuwafikiri na kutenda in individuality.

🤔🤔🤔HIVI HIO PhD CANDIDATE UNAMAANISHA AU NI MWEMBWE TU ZA JF.
 
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
 
barikiwa sana ndugu, pia kuna mchangiaji amesema katika moja ya comment kuwa ulaji wa unga mweupe [sembe] na carbonated drinks ni miongoni mwa sababu ya chanzo cha magonjwa hayo yaliyotajwa kwenye hii mada. Vp unaweza ukatupa elimu ili tuweze kujiepusha tafadhali.
HivI ni unga we sembe tuu au kila unga uliokobolewa?
Kwa jinsi nlivyo elewa ni kila unga uliokobolewa

Ngano
Sembe
 
Unga wa kukobolewa Haujafanya uchunguzi vizuri.
Kati ya dona na Sembe Basi Dona ndo mbaya ... Ndo maana mikoa inayoongoza kwa Kansa ni Mikoa kanda ya ziwa
Kwa kanda ya ziwa kuna uwezekano chanzo cha cancer kuwa kubwa ikawa sio dona, ila ni sumu zilizopo ziwa victoria, na watu wanapata cancer kupitia samaki
 
Nakusalimia doctor mushi, niingie moja kwa moja kwenye mada...ntatolea mfano mbunge msukuma kwenye interview yake moja aliwai nukuliwa akisema AMEWAI KUBADILISHA MIFUKO KWENYE UNGA WA NGANO ULIO EXPIRE NA AKAUUZA TENAA..

Nenda kwenye madawa ya binadamu watu wanafuta expire date na kuzibadilisha hii ipo Sanaa...pia nenda kwenye mafuta ya kula, nenda kwenye vipodozi, vinywaji ni balaa tupu
 
Back
Top Bottom