Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

Inawezekana ikawa kweli kuhusu hizo Pombe za bei rahisi lkn wagonjwa wa figo asilimia kubwa ni watu wakipato cha kati na visungura ni kilevi cha watu wa kipato cha chini.
Utafiti huu umeutoa wapi?

Wanywaji visungura kwa kujitetea hamjambo 🤣
 
Ndiyo mkuu,
Utumiaji holela wa dawa unaweza kusababisha matatizo ya ini na Figo kwa mantiki ifuatayo.

Kwakuwa ini ndo kiungo kinachoondoa sumu mwilini yaani detoxification na Figo inafanya kazi ya kuchuja damu na kumbuka ya kuwa dawa zimetengenezwa kwa kemikali mbalimbali kwahiyo utumiaji wa dawa kiholela inaweza fanya sumu kuzidi mwilini hivyo kusababisha ini kuzidiwa katika kazi yake ya detoxification na Figo kuzidiwa katika kazi yake ya kuchuja damu hivyo kusababisha matatizo katika viungo hivi viwili.
barikiwa sana ndugu, pia kuna mchangiaji amesema katika moja ya comment kuwa ulaji wa unga mweupe [sembe] na carbonated drinks ni miongoni mwa sababu ya chanzo cha magonjwa hayo yaliyotajwa kwenye hii mada. Vp unaweza ukatupa elimu ili tuweze kujiepusha tafadhali.
 
barikiwa sana ndugu, pia kuna mchangiaji amesema katika moja ya comment kuwa ulaji wa unga mweupe [sembe] na carbonated drinks ni miongoni mwa sababu ya chanzo cha magonjwa hayo yaliyotajwa kwenye hii mada. Vp unaweza ukatupa elimu ili tuweze kujiepusha tafadhali.
Sembe inaweza kusababisha matatizo ya Figo kama ukiila kupita kiasi kwakuwa ukiila kupita kiasi sukari itazidi mwilini hivyo kusababisha Figo kufeli. Wanga huzalisha glucose mwilini ambayo ni sukari hivyo hata dona au wali ukiitumia kupita kiasi kuna chances za kupata kisukari.

Kwaupande wa ini sembe inaweza kuleta madhara kama ilihifadhiwa vibaya au ilisindikwa pamoja na kemikali zilizotumika kwenye kilimo kama vile dawa za kuulia wadudu. Uhifadhi vibaya wa sembe huzalisha sumu iitwayo aflatoxin ambayo inaweza kusababisha saratani ya ini.

Kwaupande wa carbonated drinks zina uwezo wa kuharibu ini na Figo kama utazitumia bila mpangilio mzuri kwakuwa zinakemikali na sukari inayoweza kusababisha magonjwa ya ini na Figo.
 
Sembe inaweza kusababisha matatizo ya Figo kama ukiila kupita kiasi kwakuwa ukiila kupita kiasi sukari itazidi mwilini hivyo kusababisha Figo kufeli. Wanga huzalisha glucose mwilini ambayo ni sukari hivyo hata dona au wali ukiitumia kupita kiasi kuna chances za kupata kisukari.

Kwaupande wa ini sembe inaweza kuleta madhara kama ilihifadhiwa vibaya au ilisindikwa pamoja na kemikali zilizotumika kwenye kilimo kama vile dawa za kuulia wadudu. Uhifadhi vibaya wa sembe huzalisha sumu iitwayo aflatoxin ambayo inaweza kusababisha saratani ya ini.

Kwaupande wa carbonated drinks zina uwezo wa kuharibu ini na Figo kama utazitumia bila mpangilio mzuri kwakuwa zinakemikali na sukari inayoweza kusababisha magonjwa ya ini na Figo.
Asante kwa muda wako, nadhani nimtafute mtu wa kunifundisha namna ya kupunguza sumu mwilini kisayansi ili kuwa salama.
 
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Suala hili ni serious Sana kuhusiana na maisha ya Sasa. Vyakula vingi Sana tunavyokula ni artificial and processed foods. Huku mamlaka za udhibiti ubora na viwango zikiwa ziko hoi bin taabani.

Jaribu kufikiria tukio baya Kama hili kwenye hii video hapa chini, it's terrible!
 

Attachments

  • 5929966-5358adcd11ca564ef6ab279deb233ae9.mp4
    14 MB
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Mtu analima shamba kubwa la hekari 1-2 ale kipande cha mhogo hapo ni kama mzaha
 
Asante kwa muda wako, nadhani nimtafute mtu wa kunifundisha namna ya kupunguza sumu mwilini kisayansi ili kuwa salama.
Sawa.
Ila moja ya njia ya kupunguza sumu mwilini yaani detoxification ni kutumia ndimu au limao aidha kwa kuweka kwenye chai au kunywa kama juice. Pia usisahau mazoezi.
 
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Si wanauza za kisuna ili waongeze nguvu za kuwakomoa wanne,, haya unafikiri figo inaspea?

Si viwanda vya energy vinazidi kupngezeka na vijana wanabugia wakidhani ni juice? Chigende go
 
Upo sahihi kabisa.
Dr. Janabi naye ni miongoni mwa tatizo, yafaa tumuunganishe na TBS pamoja na TMDA.

Hivi kweli mtu ushindie kipande cha muhogo ama maji si utajikuta trip 2 barabarani trip 2 hospital.

Utapiamlo.
 
Kati ya dona na Sembe Basi Dona ndo mbaya ... Ndo maana mikoa inayoongoza kwa Kansa ni Mikoa kanda ya ziwa
Mkuu dona ni bora kuliko sembe kwakuwa inanyuzi nyuzi na madini ya kutosha kuliko sembe.
 
Sahihi, Regulatory ndio mpango mzima

REFORMS NI LAZIMA
MKuu shukurani na bandiko lako.

Kwa Batanzania wenzangu

mtumie rafiki wako kwenye grupu lako iwe ni feisbook ,enstagraam,whatsup, x, JF. Ujumbe huu mzito.

Vilevile umpigie simu Mbunge wako umwambie asipo weka hili suala kwenye vipaumbeke vyake vya bunge lijalo, kura hapati. Simple as that.

Hatuezi endelea na vifo visivyo vya lazima. We can't be complacent.

kwa wenzangu wa CHADEMA, haya ndio masuala tunapaswa kuwaambia Wananchi. Tuchukue wasaa na ramli hii kama sehemu ya sera zetu.


Reform ni Lazima

Hakikisha unaweka na link hii ya huu Uzi huko

Jamani hatuwezi kukaa kimya na hili.

#REFORMNILAZIMA
 
Sembe inaweza kusababisha matatizo ya Figo kama ukiila kupita kiasi kwakuwa ukiila kupita kiasi sukari itazidi mwilini hivyo kusababisha Figo kufeli. Wanga huzalisha glucose mwilini ambayo ni sukari hivyo hata dona au wali ukiitumia kupita kiasi kuna chances za kupata kisukari.

Kwaupande wa ini sembe inaweza kuleta madhara kama ilihifadhiwa vibaya au ilisindikwa pamoja na kemikali zilizotumika kwenye kilimo kama vile dawa za kuulia wadudu. Uhifadhi vibaya wa sembe huzalisha sumu iitwayo aflatoxin ambayo inaweza kusababisha saratani ya ini.

Kwaupande wa carbonated drinks zina uwezo wa kuharibu ini na Figo kama utazitumia bila mpangilio mzuri kwakuwa zinakemikali na sukari inayoweza kusababisha magonjwa ya ini na Figo.
Wazeee wetu wameishi kwenye mchele ngano na dona plus mbege miaka yao tisini. Zote hizo ni carbohydrates leading to glucose.

With all that ,,Hawajui sukari, presha wala figo, wengi wqmekufa just for old age

Iweje nyie vijana wa 30 na 40 to 50 , ulaji wa ngano sembe na dona na mchele iwaletee figo na sukari

Unaweza kutoa Data to support your claim , mind that everything in excess is harmful including water
 
Sembe inaweza kusababisha matatizo ya Figo kama ukiila kupita kiasi kwakuwa ukiila kupita kiasi sukari itazidi mwilini hivyo kusababisha Figo kufeli. Wanga huzalisha glucose mwilini ambayo ni sukari hivyo hata dona au wali ukiitumia kupita kiasi kuna chances za kupata kisukari.

Kwaupande wa ini sembe inaweza kuleta madhara kama ilihifadhiwa vibaya au ilisindikwa pamoja na kemikali zilizotumika kwenye kilimo kama vile dawa za kuulia wadudu. Uhifadhi vibaya wa sembe huzalisha sumu iitwayo aflatoxin ambayo inaweza kusababisha saratani ya ini.

Kwaupande wa carbonated drinks zina uwezo wa kuharibu ini na Figo kama utazitumia bila mpangilio mzuri kwakuwa zinakemikali na sukari inayoweza kusababisha magonjwa ya ini na Figo.
Wazeee wetu wameishi kwenye mchele ngano na dona plus mbege miaka yao tisini. Zote hizo ni carbohydrates leading to glucose.

With all that ,,Hawajui sukari, presha wala figo, wengi wqmekufa just for old age

Iweje nyie vijana wa 30 na 40 to 50 , ulaji wa ngano sembe na dona na mchele iwaletee figo na sukari

Unaweza kutoa Data to support your claim , mind that everything in excess is harmful including water
 
KUSUM UP POINT ZOTE UNAPATA JIBU KUWA UMASIKINI, UKOSEFU WA ELIMU NA KUJITAMBUA NDIO VIUNAPELEKEA HIVI VILIO.

TZ NI NCHI AMBAYO WATU WANAISHI KIHOLELA HOLELA NA MAISHA YA KUIGANA.

INCHI AMBAYO WAJINGA NDO MAINFLUENSA NA VIONGOZI.

NYIE WASOMI KWENYE HIZO STUDY ZENU MSISAHAU HAYA;

1.UKIMWI
2. KISUKARI.
3.PRESHA.
4.KUTOKUNYWA MAJI IPASAVYO.
5.MATUMIZI HOLELA YA DAWA ZA HOSPITALI NA MITISHAMBA.
6.MATUMIZI YA POMBE KUPITILIZA.
7.GENETICS.

📌📌📌JANABI ANAJITAIDI KUWAELEZA KATIKA LUGHA RAHISI ILI KILA MWENYE AKILI TIMAMU ACHUKUE TAHADHARI.HIYO POLITICAL VIEW UNAYOIONGELEA WEWE UMEITOA WAPI????

📌WEWE NA PHD YAKO YA MCHONGO UMEISAIDIAJE NCHI ZAIDI YA KUJIFICHA HUKO KWA MABEBERU NA UZUNGU PORI WENU.

TRUMP AMESHAIUA WHO FANYA URUDI NYUMBANI UTUONYESHE ULIYOJIFUNZA HUKO UGHAIBUNI.
Mnaishi kama machokoraa au mbwa waliokosa mfugaji
 
Back
Top Bottom