Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

Visungura +zile pombe anazozalisha yule bilionea

Ova
Unakuta kijana kachanganya hizi pombe za bei rahisi kwenye vinywaji vyenye caffeine, anavuta sigara, anakula mirungi na wakati mwingine anachanganya paracetamol kwenye energy drink ili akamkomoe mwanamke, unadhani vitu vya ndani ya mwili vitapona kweli?🤣🤣

Sio wakati wote tunatakiwa kuilaumu serikali
 
Shida wabongo wengi tuna tabia ya kutumia dawa hovyo yaani unakuta mtu akipata homa anaenda pharmacy kuchukua amoxycilin na wengi hawana tabia ya kumaliza dozi hivyo hii inaweza kupelekea matatizo ya Figo na ini.
 
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Kuna mataifa ya kigeni yanashirikiana na baadjhi ya watanzania wenzetu ku depopulate population yetu na baadhi ya mbinu ni
  1. Kuingiza vyakula na madawa visivyokuwa na viwango stahiki vya kutumiwa na binadamu
  2. Kuharibu mazingira kwa makusudi kabisa
  3. Kutotoa huduma sahihi za afya
  4. Kuingiza nchini vifaa mbalimbali visivyokidhi viwango na kusababisha ajali na maafa
 
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
Homa ya Ini, Uraji wa Pombe kupita kiasi.

Vijana hawataelewa mpaka baada ya miaka 10- 15 ijayo wakivimba matumbo.

Kuna energy drinks ndio balaa
 
1. Vyakula vinavyouzwa mtaani hawana idea
na expiry dates
2. Hawa kuku wa mayai sometimes wanapewa
Madawa ambayo utayakuta ndani
3. Hizi carbonated drinks za azam na Mo ni kitanzi kikubwa cha maisha ya watanzania.
4. Mafuta yanayotumiwa over and over kukaanga chips
5 ni kama hakuna prescription practice nchini .

Above all no one cares mamlaka ziko busy na kusifu
 
Sawa soon
L
Unakuta kijana kachanganya hizi pombe za bei rahisi kwenye vinywaji vyenye caffeine, anavuta sigara, anakula mirungi na wakati mwingine anachanganya paracetamol kwenye energy drink ili akamkomoe mwanamke, unadhani vitu vya ndani ya mwili vitapona kweli?🤣🤣

Sio wakati wote tunatakiwa kuilaumu serikali
not the only cause
 
1. Vyakula vinavyouzwa mtaani hawana idea
na expiry dates
2. Hawa kuku wa mayai sometimes wanapewa
Madawa ambayo utayakuta ndani
3. Hizi carbonated drinks za azam na Mo ni kitanzi kikubwa cha maisha ya watanzania.
4. Mafuta yanayotumiwa over and over kukaanga chips
5 ni kama hakuna prescription practice nchini .

Above all no one cares mamlaka ziko busy na kusifu
Mamlaka zipo wapi

Tunarudi pale pale
 
Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya zaid ya 50K !
Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini.

Je, tatizo ni nini ?

Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors .

Hizo political fame za Janabi za kula kipande cha muhogo ni intimidation tu na hazina tija. the body needs fat, carbohydrate, minerals, proteins, vitamins , water to function properly.

Chanzo kikuu kinaanzia kwenye Mamlaka ya UDHIBITI. TBS, TMDA, Mamlaka udhibiti wa Nyama na mamifugo ya kisasa, mamlaka za kilimo cha kisasa na GMO.

Kwa mfano ( unpublished data) zaidi ya 55% ya pombe za TZ ni fake na zikiwa na sticker fake za TBS. Viwanda bubu vikiwa pwani, kigamboni, Kilimanjaro na Arusha. Pombe fake nyingine zinatokea Kenya, taveta na Namanga; hivyowatu wanakunywa toxic zinazoenda ku temper na Figo, Ini na some ingridients ni Carcinogen.

Ethylene kwa ajili ya kuivisha matunda. TBS ime lose control, concentration na dose inayotumika kuivisha ni kubwa than recommended. Tunda linaingizwa saa 11 alfajiri, saa 12:30 asubuhi linatoka limeiva na kuingizwa masokoni, Je TBS , inayo mechanism ya ku monotor dose za ethylene kwenye matunda ?

Nyama... another area mamlaka zimepoteza control .wanyama wanauliwa wakiwa wagonjwa... wengine wanakuwa na kansa, strong infections , chronic Worms na kuingizwa sokoni.

GMO, mashamabani ndio dili siku hizi. Food system imeharibiwa na mamlaka zipo kusifu tu. Vijana kufa na cancer, figo or ini at their early 30s and 40s ni normal thing now days.

Eneo lingine ni madawa sub standard na fake supplements ( virutubisho) yanayoingia nchini kwa njia za panya.Another poison kwenye medicine system . What a shame !

Tunazuia Bangi tunaruhusu GMOs food system , fake supplements , fake alcohol.....what a shame !

Tatizo kubwa linaanzia kwa Regulatory Authorities, hazifanyi kazi kwa weledi in collaboration with technologies advancement.

Billions of money zinaenda kulipa wasanii, magari ya viongozi, kuwalipa machawa na ignorants wengine. Regulatory Authorities hazina Fund na Capacity za kujiendesha. What a shame.

Uzuri tupo kwenye nyumba moja. Mtafikiwa

Dr Megalodon Mushi, PhD Candidate
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada
TBS ni shirika la ccm sasa. Kuna idara kuwa uhuru sio kuwa TBS niulize kwa nini?
 
Haya magonjwa mengi tuliyasikia kutoka nje, sasa yako kwetu, tumeacha maisha yetu ya asili. Maana yake tunatumia vyakula,madawa,pombe na vinywaji vingine toka nje ambavyo ubora wake hauthibitiwi.
Wao wanakula vyema ubora na mamlaka zao zipo strict

Pale mbezi na KKo kuna wachina wanazalisha maji ya Kilimanjaro, Azam na Uhai fake thenwanayaingiza kwa mzunguko
Jamaa wamepanga zao apartment tu kila kitu wanamaliza humo

Nchi ya wajinga
 
Nchini Marekani, kuna mashirika ya viwango vya binafsi na vya serikali yanayosimamia ubora na usalama wa bidhaa. Mashirika haya hutoa miongozo, viwango, na udhibiti wa bidhaa ili kuhakikisha usalama wa walaji na kufuata kanuni za kibiashara.

Mashirika ya Serikali

  1. Food and Drug Administration (FDA) – Inasimamia ubora na usalama wa chakula, dawa, vifaa vya matibabu, vipodozi, na bidhaa za tumbaku.
  2. United States Department of Agriculture (USDA) – Inasimamia viwango vya usalama wa chakula, hasa bidhaa za mifugo, kuku, na mazao ya kilimo.
  3. Consumer Product Safety Commission (CPSC) – Inahakikisha bidhaa za walaji kama vifaa vya nyumbani, michezo, na mavazi zinakidhi viwango vya usalama.
  4. Environmental Protection Agency (EPA) – Inasimamia viwango vya usalama wa mazingira, ikiwa ni pamoja na kemikali na bidhaa zinazoweza kuwa na madhara kwa mazingira.
  5. Occupational Safety and Health Administration (OSHA) – Inahakikisha viwango vya usalama mahali pa kazi na bidhaa zinazotumiwa katika mazingira ya kazi.
  6. National Highway Traffic Safety Administration (NHTSA) – Inasimamia usalama wa magari na vipuri vyake.

Mashirika ya Viwango vya Binafsi

  1. American National Standards Institute (ANSI) – Inaratibu na kuidhinisha viwango vya ubora na usalama katika sekta mbalimbali.
  2. Underwriters Laboratories (UL) – Inafanya majaribio ya usalama wa bidhaa za kielektroniki, vifaa vya moto, na bidhaa za viwandani.
  3. National Fire Protection Association (NFPA) – Inatoa viwango vya usalama wa moto na kuzuia majanga yanayohusiana na moto.
  4. ASTM International – Inatengeneza viwango vya kimataifa kwa bidhaa, nyenzo, mifumo, na huduma mbalimbali.
  5. Society of Automotive Engineers (SAE) – Inatoa viwango kwa sekta ya magari, anga, na viwanda vinavyohusiana.
 
Back
Top Bottom