Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

Homa ya Ini, Uraji wa Pombe kupita kiasi.

Vijana hawataelewa mpaka baada ya miaka 10- 15 ijayo wakivimba matumbo.

Kuna energy drinks ndio balaa
utufafanulie sasa mkuu cross cut point ndo nini

na tunawezaje kuepuka hayo magonjwa ikiwa tunatumia sana bidhaa za viwanda

au unazungumzia kuhusu kupunguza kesi za hayo magonjwa?
RAs zifanye kazi zao kwa makini na udhibiti bila ya kuingiliwa. RAs ziwe full independent

Unajua maaana ya full independent ?

Kwa mfano Samia anaingiza Sukari , Mamlaka kwa sababu maalum za usalama, imeona Sukari hazifai kuingizwq….. basi Zirudishwe zilipotoka bila ya kujali ni za nani ! Je hili hapo kwenu inawezekana ?

Kumbuka ww mlaji wa mwisho unanunua what is available on the market ! RA ndio wanaamua kipi kina standard za kuingia sokoni : That Means kama RA zitafanya kazi zao vema, kuna takataka nying zitapungua sokoni hivyo mtanunua vitu standard , mtakaa mbali na hayo magonjwa

Kwa hiyo RA ndio cross cut point ya shida nyingi. Many issues will be solved tukiboresha mamlaka
 
Nchini Marekani, kuna mashirika ya viwango vya binafsi na vya serikali yanayosimamia ubora na usalama wa bidhaa. Mashirika haya hutoa miongozo, viwango, na udhibiti wa bidhaa ili kuhakikisha usalama wa walaji na kufuata kanuni za kibiashara.

Mashirika ya Serikali

  1. Food and Drug Administration (FDA) – Inasimamia ubora na usalama wa chakula, dawa, vifaa vya matibabu, vipodozi, na bidhaa za tumbaku.
  2. United States Department of Agriculture (USDA) – Inasimamia viwango vya usalama wa chakula, hasa bidhaa za mifugo, kuku, na mazao ya kilimo.
  3. Consumer Product Safety Commission (CPSC) – Inahakikisha bidhaa za walaji kama vifaa vya nyumbani, michezo, na mavazi zinakidhi viwango vya usalama.
  4. Environmental Protection Agency (EPA) – Inasimamia viwango vya usalama wa mazingira, ikiwa ni pamoja na kemikali na bidhaa zinazoweza kuwa na madhara kwa mazingira.
  5. Occupational Safety and Health Administration (OSHA) – Inahakikisha viwango vya usalama mahali pa kazi na bidhaa zinazotumiwa katika mazingira ya kazi.
  6. National Highway Traffic Safety Administration (NHTSA) – Inasimamia usalama wa magari na vipuri vyake.

Mashirika ya Viwango vya Binafsi

  1. American National Standards Institute (ANSI) – Inaratibu na kuidhinisha viwango vya ubora na usalama katika sekta mbalimbali.
  2. Underwriters Laboratories (UL) – Inafanya majaribio ya usalama wa bidhaa za kielektroniki, vifaa vya moto, na bidhaa za viwandani.
  3. National Fire Protection Association (NFPA) – Inatoa viwango vya usalama wa moto na kuzuia majanga yanayohusiana na moto.
  4. ASTM International – Inatengeneza viwango vya kimataifa kwa bidhaa, nyenzo, mifumo, na huduma mbalimbali.
  5. Society of Automotive Engineers (SAE) – Inatoa viwango kwa sekta ya magari, anga, na viwanda vinavyohusiana.

Inawezekana ikawa kweli kuhusu hizo Pombe za bei rahisi lkn wagonjwa wa figo asilimia kubwa ni watu wakipato cha kati na visungura ni kilevi cha watu wa kipato cha chini.
Sijui maaana ya kisungura….. please in English
 
Kwa hapa Bongo nyie jiandaeni kuzikana tu.

Hakuna smartness ikiwa kila taasisi inajipendekeza kwenye mhimili mkuu wa serikali. Everybody wants to praise and worship the president and chairman of the rulling party ili tu akifanya madudu yake awe na cushion. Hatuendi popote bila reforms, lazma tuondoe double standards na utimu kwenye kuendesha taifa. Sheria ifanye kazi bila kujali ni nani ameivunja.
 
SHIDA UBISHI WAKO UNAONA KAMA UNAJUA KUMBE ZIRO TU.Embu peleka bidhaa zako kwa watu wa hizo nchi useme kuwa hayo.Kuna idara sio za serikali ndio maana kuna mada moja nilisema hata ikitokea majanga ajari za ndege au majanga ya dunia mtabaki tunfanyia uchunguzi kunakucha.
Tatizo hujui kuwasiliana. Probably we are on the same page.But Kama kawaida Watanzania mna communication skills issue . Sio kiswahili wala Kingereza.

Next Time jifunze kuandika vizuri, uwe unafanya proof reading…..imagine at your age unaandika neno ajari, serious !!!!

Dogo, jifunze
 
Tatizo hujui kuwasiliana. Probably we are on the same page.But Kama kawaida Watanzania mna communication skills issue . Sio kiswahili wala Kingereza.

Next Time jifunze kuandika vizuri, uwe unafanya proof reading…..imagine at your age unaandika neno ajari, serious !!!!

Dogo, jifunze
Shida unajua kukimbilia kukataa ukweli.Mimi nimeishi na jamii yako kuwa mnaona ukweli alafu mnajifanya mnakataa baada kuambiwa wajinga ndio mnajifanya kujibu.
 
Shida unajua kukimbilia kukataa ukweli.Mimi nimeishi na jamii yako kuwa mnaona ukweli alafu mnajifanya mnakataa baada kuambiwa wajinga ndio mnajifanya kujibu.
Jifunze kuwasilisha hoja dogo, nimeelewa tupo on the same page but uandishi wako na uwasilishaji ni changamoto
 
Bakhresa na Dewji wana mchango wao kwa jinsi walivyokuza na kusambaza consumer products kama energy drinks na unga uliokobolewa.
Kuna mo, azam, sayona, jambo ongezea na wengine yaani Hawa waarabu na wahindi wanatuuzia vitu ambavyo hata having faida mwilini na binadamu anakula na kunywa kisa ulimi umedanganywa kwa short term pleasure.
Kama ni uwongo tunachokula kutoka kwao hao jamaa kina faida na manufaa kwenye afya zetu, yaani asema ameshawahi shauriwa kuwa akanywe ama akale ngano ya azam. Zote hizo ni uchafu na sumu tunajaza matumboni mwetu.
 
Shida wabongo wengi tuna tabia ya kutumia dawa hovyo yaani unakuta mtu akipata homa anaenda pharmacy kuchukua amoxycilin na wengi hawana tabia ya kumaliza dozi hivyo hii inaweza kupelekea matatizo ya Figo na ini.
Ndugu kama hutojali unaweza kuongezea nyama hapa kwenye maelezo yako ya msingi tafadhali.
 
Nchi yenye mifumo iliyoparaganyika ni ngumu kudhibiti Hilo, tena hizi restaurants zetu za mijini zinatuua Kwa kweli.
 
Ndugu kama hutojali unaweza kuongezea nyama hapa kwenye maelezo yako ya msingi tafadhali.
Ndiyo mkuu,
Utumiaji holela wa dawa unaweza kusababisha matatizo ya ini na Figo kwa mantiki ifuatayo.

Kwakuwa ini ndo kiungo kinachoondoa sumu mwilini yaani detoxification na Figo inafanya kazi ya kuchuja damu na kumbuka ya kuwa dawa zimetengenezwa kwa kemikali mbalimbali kwahiyo utumiaji wa dawa kiholela inaweza fanya sumu kuzidi mwilini hivyo kusababisha ini kuzidiwa katika kazi yake ya detoxification na Figo kuzidiwa katika kazi yake ya kuchuja damu hivyo kusababisha matatizo katika viungo hivi viwili.
 
KUSUM UP POINT ZOTE UNAPATA JIBU KUWA UMASIKINI, UKOSEFU WA ELIMU NA KUJITAMBUA NDIO VIUNAPELEKEA HIVI VILIO.

TZ NI NCHI AMBAYO WATU WANAISHI KIHOLELA HOLELA NA MAISHA YA KUIGANA.

INCHI AMBAYO WAJINGA NDO MAINFLUENSA NA VIONGOZI.

NYIE WASOMI KWENYE HIZO STUDY ZENU MSISAHAU HAYA;

1.UKIMWI
2. KISUKARI.
3.PRESHA.
4.KUTOKUNYWA MAJI IPASAVYO.
5.MATUMIZI HOLELA YA DAWA ZA HOSPITALI NA MITISHAMBA.
6.MATUMIZI YA POMBE KUPITILIZA.
7.GENETICS.

📌📌📌JANABI ANAJITAIDI KUWAELEZA KATIKA LUGHA RAHISI ILI KILA MWENYE AKILI TIMAMU ACHUKUE TAHADHARI.HIYO POLITICAL VIEW UNAYOIONGELEA WEWE UMEITOA WAPI????

📌WEWE NA PHD YAKO YA MCHONGO UMEISAIDIAJE NCHI ZAIDI YA KUJIFICHA HUKO KWA MABEBERU NA UZUNGU PORI WENU.

TRUMP AMESHAIUA WHO FANYA URUDI NYUMBANI UTUONYESHE ULIYOJIFUNZA HUKO UGHAIBUNI.
 
Yupo obssesed. He is practicinge general fame not medical
UNATAKA AWASHIKIE FIMBO.WEWE UTAKUWA UNAPERSONAL ISSUES NA JANABI.

MWENZAKO ANATUMIA JUKWAA ALILOPO KATIKA KUSHARE KIDOGO NA KATIKA LUGHA AMBAYO HATA WAJINGA WAJINGA HUKO MTAANI WANAELEWA.

WEWE ULITAKA AFANYAJE KATIKA HII CORRUPT COUNTRY NA MAMLAKA HUSIKA ZIPO PARALIZED!!!

📌📌📌HIYO KUWA PHD CANDIDATE INAKULEVYA UNAJIHISI UMEMALIZA😄😄😄.UNAONYESHA TABIA ZA KIAFRICA TYPICALLY🙌🙌🙌
 
RAs zifanye kazi zao kwa makini na udhibiti bila ya kuingiliwa. RAs ziwe full independent

Unajua maaana ya full independent ?

Kwa mfano Samia anaingiza Sukari , Mamlaka kwa sababu maalum za usalama, imeona Sukari hazifai kuingizwq….. basi Zirudishwe zilipotoka bila ya kujali ni za nani ! Je hili hapo kwenu inawezekana ?

Kumbuka ww mlaji wa mwisho unanunua what is available on the market ! RA ndio wanaamua kipi kina standard za kuingia sokoni : That Means kama RA zitafanya kazi zao vema, kuna takataka nying zitapungua sokoni hivyo mtanunua vitu standard , mtakaa mbali na hayo magonjwa

Kwa hiyo RA ndio cross cut point ya shida nyingi. Many issues will be solved tukiboresha mamlaka
In a capitalist world you cant fight them( RICH GANGSTERS) and win.

📌📌Kwanini nyie wasomi msihimize raia kujiepusha na hivyo vitu maana hakuna sheria ya kulazima watu walewe au wanywe hizo energy drinks.Kwahiyo bado inabaki kuwa ni hiyari ya mtu binafsi na utashi wake.
 
Back
Top Bottom