Je, ni kweli Africa inahitaji Miradi kama hii ya BRT ya Umeme kama huu wa Senegal?

Je, ni kweli Africa inahitaji Miradi kama hii ya BRT ya Umeme kama huu wa Senegal?

Ni kama Bongo treni ya umeme.

Inakula matrilion ya pesa .

Magu namkubali ila swala la kujenga reli mpya ndefu halikuwa na ulazima.

Angeboresha zile zile reli za zamani. Treni za kizamani mbona zinabeba mizigo na abiria fresh kabisa.

Hizo trilioni za kujenga reli..zingejenga kiwanda kikubwa cha kusapoti agliculture zetu for export
Magu alikuwa zigo la Taifa
 
Back
Top Bottom