Bhasi habari za wakati huu wana JF wote poleni na hongera katika kuendelea kupambana na hizi changamoto za haya maisha.
Bhasi bhana leo nikiwa naendelea na mapumziko ya sikukuu hiii ya Christmas.
Huku nikiwa nina uchovu wa ajabu nikasema siku ya leo sio mbaya nikatumia na wadau wangu wa hapa mtaani katika kubadilishana mawazo labda huenda nikapata jambo jipya la kujifunza.
Niende moja kwa moja kwenye mada ni kwamba hawa jamaa zangu walikua wanajadili mada ya kuwa hakuna tajiri yoyote kwenye hii dunia na Tanzania hapa ambaye anaendesha utajiri wake pasipo kuhusisha na mambo ya kichawi au MASONIC State.
Jambo ambalo kwa upande wangu nilijaribu kuwapinga nikasema, kweli wapo lakini kuna wengine utajiri wao ni wa halali kabisa.
Lakini wao walijaribu kupinga na kusema wachezaji maarufu kama C. Ronaldo, L. Messi eti na Bill Gates ni watu ambao wanahusika au utajiri wao unaendeshwa na hawa Masonic.
Na kwa hapa Bongo walijaribu kuwataja wasanii maarufu pamoja na matajiri maarufu wakisema katika utajiri wao kuwa na Imani za kishirikina.
Sasa hawaaa jamaaa nimejaribu kuwaapuuza kwa kuona kama ni propaganda fulani hivi, na kutokana wao wenyewe bado hawana maisha, sasa wanajaribu kuhusisha kila aliyefanikiwa na mambo ya kichawi.
Je, ni kweli kwamba asilimia kubwa ya watu wenye mafanikio kwenye hii dunia bhasi hutumia ushirikina katika kuendesha utajiri wao?
Bhasi bhana leo nikiwa naendelea na mapumziko ya sikukuu hiii ya Christmas.
Huku nikiwa nina uchovu wa ajabu nikasema siku ya leo sio mbaya nikatumia na wadau wangu wa hapa mtaani katika kubadilishana mawazo labda huenda nikapata jambo jipya la kujifunza.
Niende moja kwa moja kwenye mada ni kwamba hawa jamaa zangu walikua wanajadili mada ya kuwa hakuna tajiri yoyote kwenye hii dunia na Tanzania hapa ambaye anaendesha utajiri wake pasipo kuhusisha na mambo ya kichawi au MASONIC State.
Jambo ambalo kwa upande wangu nilijaribu kuwapinga nikasema, kweli wapo lakini kuna wengine utajiri wao ni wa halali kabisa.
Lakini wao walijaribu kupinga na kusema wachezaji maarufu kama C. Ronaldo, L. Messi eti na Bill Gates ni watu ambao wanahusika au utajiri wao unaendeshwa na hawa Masonic.
Na kwa hapa Bongo walijaribu kuwataja wasanii maarufu pamoja na matajiri maarufu wakisema katika utajiri wao kuwa na Imani za kishirikina.
Sasa hawaaa jamaaa nimejaribu kuwaapuuza kwa kuona kama ni propaganda fulani hivi, na kutokana wao wenyewe bado hawana maisha, sasa wanajaribu kuhusisha kila aliyefanikiwa na mambo ya kichawi.
Je, ni kweli kwamba asilimia kubwa ya watu wenye mafanikio kwenye hii dunia bhasi hutumia ushirikina katika kuendesha utajiri wao?