Mantheman6
Senior Member
- May 30, 2020
- 169
- 143
Habari zenu ndugu zangu wa Jf ni imani yangu kwamba nyote mko salama na niwape pole kwa mihangaiko ya wiki nzima hakika kazi inaendelea.
Sasa ndugu zangu mojakwamoja twende kwenye mada yetu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.
Kumekuwa na stori stori nyingi mtaani kila mtu akisema lake kuhusiana na kilevi aina ya BANGI lakini katika vyote nilivyowahi kuvisikia kuhusiana na kilevi hiko mpaka kupelekea kuandika uzi huu ni kwamba.
Siku moja nilikaa kijiweni na washkaji kadhaa sasa mmojawapo alikua akivuta BANGI kwa wakati ule ilikuwa kama mida ya saa moja moja hivi jioni sasa ghafla tukaanza sikia sauti ya paka mita kadhaa akilia sana yaani alianza kulia dakika kadhaa baada ya jamaa yule kulipua kitu cha Arusha sasa alikuwa akipiga sana kelele ikabidi tuache stori zetu tuulizane kwani vipi maana hata tulipojaribu kumfukuza ni anakimbia mita kadhaa kisha anarudi anajificha sehemu fulani ambayo ni gizani anajua ni ngumu kumuona na anaanza kulia kama kawaida.
Sasa buana yule jamaa aliekuwa akivuta akatuambia kwamba huyu ni mchawi hataki tuvute bangi inamsumbua alituambia kwamba nyumba ya jirani kuna bibi mmoja wanamshukia sana kuhusu masuala ya ushirikina inawezekana kamaindi.
Nikajaribu kumuuliza kwamba kwani BHANGI ina uhusiano gani na masuala ya uchawi jamaa akaniambia “ebhanaee hii kitu iheshimu kwasababu ina nguvu kubwa sana katika mambo mengi hii kitu ukiwa unavuta mchawi hakusogelei hata kidogo yaani anapita mbali kabisa”.
Sasa ilinibidi niangue kicheko lakini moyoni nikajisemea yaani nitafanyia uchunguzi kama ni kweli nami nianze tu kutumia hii kitu maana nimezungukwa na wanga kwasana na mimi sio mtu wa dini sana wala mganga simjui anafananaje kwahivyo siku nikigundua kuna ukweli aisee itanibidi niitumie kama kinga yangu.
Sasa ndugu zangu najua wakongwe wapo humu naombeni kufahamu je ni kweli BHANGI inaweza kukukinga dhidi ya wachawi?
Na kama kuna anaefahamu nguvu ingine ya BHANGI si mbaya akatujuza hapa.
Nawasilisha
Sasa ndugu zangu mojakwamoja twende kwenye mada yetu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.
Kumekuwa na stori stori nyingi mtaani kila mtu akisema lake kuhusiana na kilevi aina ya BANGI lakini katika vyote nilivyowahi kuvisikia kuhusiana na kilevi hiko mpaka kupelekea kuandika uzi huu ni kwamba.
Siku moja nilikaa kijiweni na washkaji kadhaa sasa mmojawapo alikua akivuta BANGI kwa wakati ule ilikuwa kama mida ya saa moja moja hivi jioni sasa ghafla tukaanza sikia sauti ya paka mita kadhaa akilia sana yaani alianza kulia dakika kadhaa baada ya jamaa yule kulipua kitu cha Arusha sasa alikuwa akipiga sana kelele ikabidi tuache stori zetu tuulizane kwani vipi maana hata tulipojaribu kumfukuza ni anakimbia mita kadhaa kisha anarudi anajificha sehemu fulani ambayo ni gizani anajua ni ngumu kumuona na anaanza kulia kama kawaida.
Sasa buana yule jamaa aliekuwa akivuta akatuambia kwamba huyu ni mchawi hataki tuvute bangi inamsumbua alituambia kwamba nyumba ya jirani kuna bibi mmoja wanamshukia sana kuhusu masuala ya ushirikina inawezekana kamaindi.
Nikajaribu kumuuliza kwamba kwani BHANGI ina uhusiano gani na masuala ya uchawi jamaa akaniambia “ebhanaee hii kitu iheshimu kwasababu ina nguvu kubwa sana katika mambo mengi hii kitu ukiwa unavuta mchawi hakusogelei hata kidogo yaani anapita mbali kabisa”.
Sasa ilinibidi niangue kicheko lakini moyoni nikajisemea yaani nitafanyia uchunguzi kama ni kweli nami nianze tu kutumia hii kitu maana nimezungukwa na wanga kwasana na mimi sio mtu wa dini sana wala mganga simjui anafananaje kwahivyo siku nikigundua kuna ukweli aisee itanibidi niitumie kama kinga yangu.
Sasa ndugu zangu najua wakongwe wapo humu naombeni kufahamu je ni kweli BHANGI inaweza kukukinga dhidi ya wachawi?
Na kama kuna anaefahamu nguvu ingine ya BHANGI si mbaya akatujuza hapa.
Nawasilisha