Je, ni kweli bangi inaweza kukinga dhidi ya wachawi?

Je, ni kweli bangi inaweza kukinga dhidi ya wachawi?

Mantheman6

Senior Member
Joined
May 30, 2020
Posts
169
Reaction score
143
Habari zenu ndugu zangu wa Jf ni imani yangu kwamba nyote mko salama na niwape pole kwa mihangaiko ya wiki nzima hakika kazi inaendelea.

Sasa ndugu zangu mojakwamoja twende kwenye mada yetu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.

Kumekuwa na stori stori nyingi mtaani kila mtu akisema lake kuhusiana na kilevi aina ya BANGI lakini katika vyote nilivyowahi kuvisikia kuhusiana na kilevi hiko mpaka kupelekea kuandika uzi huu ni kwamba.

Siku moja nilikaa kijiweni na washkaji kadhaa sasa mmojawapo alikua akivuta BANGI kwa wakati ule ilikuwa kama mida ya saa moja moja hivi jioni sasa ghafla tukaanza sikia sauti ya paka mita kadhaa akilia sana yaani alianza kulia dakika kadhaa baada ya jamaa yule kulipua kitu cha Arusha sasa alikuwa akipiga sana kelele ikabidi tuache stori zetu tuulizane kwani vipi maana hata tulipojaribu kumfukuza ni anakimbia mita kadhaa kisha anarudi anajificha sehemu fulani ambayo ni gizani anajua ni ngumu kumuona na anaanza kulia kama kawaida.

Sasa buana yule jamaa aliekuwa akivuta akatuambia kwamba huyu ni mchawi hataki tuvute bangi inamsumbua alituambia kwamba nyumba ya jirani kuna bibi mmoja wanamshukia sana kuhusu masuala ya ushirikina inawezekana kamaindi.

Nikajaribu kumuuliza kwamba kwani BHANGI ina uhusiano gani na masuala ya uchawi jamaa akaniambia “ebhanaee hii kitu iheshimu kwasababu ina nguvu kubwa sana katika mambo mengi hii kitu ukiwa unavuta mchawi hakusogelei hata kidogo yaani anapita mbali kabisa”.

Sasa ilinibidi niangue kicheko lakini moyoni nikajisemea yaani nitafanyia uchunguzi kama ni kweli nami nianze tu kutumia hii kitu maana nimezungukwa na wanga kwasana na mimi sio mtu wa dini sana wala mganga simjui anafananaje kwahivyo siku nikigundua kuna ukweli aisee itanibidi niitumie kama kinga yangu.

Sasa ndugu zangu najua wakongwe wapo humu naombeni kufahamu je ni kweli BHANGI inaweza kukukinga dhidi ya wachawi?

Na kama kuna anaefahamu nguvu ingine ya BHANGI si mbaya akatujuza hapa.

Nawasilisha
 
Huo ndio ukweli, Kwenye bangi sio mchawi tu,, hata majini ni hayasogei.

Dunia ndio iko hivo, nakumbuka kuna mtaalamu alikua akielezea kuna mti fulani wa kawaida tu, kuwa endapo mtu aliyechukuliwa msukule akiuchukua na kuushika basi kumbukumbu zake zinaweza kurudi na kumsaidia kutoroka huko anapo tumikishwa.
 
Mimi nawashauri sana wavuta bangi wasipende kukaa vijiweni. Bangi inapenda ukae peke yako uwaze plans zako za kimaisha au kama ni kufanya tafakari inasaidia sana. Bangi inakufanya kuwa mtu wa shukrani, mtu wa amani na inakujenga kiroho kama utaipenda kwa jinsi inavyokupa nguvu ya kuyatazama maisha katika mtazamo ambao ni clear. Bangi inafungua ile power iliyo ndani yako, hata hofu ya kesho inaondoka unaona unakuwa mtu wa matarajio makubwa katika kutafuta ndoto zako.

Lakini tatizo ni moja ukivuta bangi ukakaa kijiweni mnaanza kupiga story ambazo hazina uhalisia kabisa mwisho wa siku mtazungumzia na maisha ya watu tu, ona sasa mnaanza kumzungumzia Bibi ambaye hamna uhakika lakini mnahisi ni mchawi.
Unajua mkuu bangi ni kama amplifier, ukiamini kitu kwa udogo tu au ukiaminishwa utajijengea wazo mpaka utaamini vitu ambavyo havipo. Ona jamaa anavyoamini inafukuza wachawi. Wakati ni imani tu za mtaani.

Niliwahi kuzungumza na jamaa mmoja ambaye amejijenga kiroho sana, ingawa hatumii mjani, lakini anajitahidi kufuata na kuutafuta ukweli wa mambo mengi ya kidunia. Katika mazungumzo nikamuuliza swali kama hili, maana hata hapa jf watu wameuliza swali kama hili mara nyingi mno. Akaniambia viumbe kama majini wanavutiwa na baadhi ya tabia za kibinadamu ambazo sometimes ni anasa, kama pombe, bangi, ngono n.k. Hivyo kama wewe unatumia mjani jua kwamba kuna viumbe wanavutiwa na harufu yake na wanakuwa wanachill na wewe kipindi unavuta bangi.

Vilevile kuna nchi nyingi za kiafrika na huko majuu, waganga na wachawi ( kule nje ya Africa uchawi ni tasnia na taaluma siyo kulogana sana kama Africa) lazima wavute bangi ili wapate stimu ya kupandisha mashetani yao, hata ukiingia mtandaoni vitu kama hivyo utavikuta.

Sasa sijui kwanini waTanzania tumeamua kudanganyana kiasi hiki kuhusu bangi. Mara utaambiwa bangi inafanya uwe kichaa, mara ukivuta bangi punje ya mchele inakuwa jabali, ukivuta bangi ukawa mcheshi na watu, watu wanasema bangi hizo. Yaani mambo mengi ambayo kimsingi hayana uhalisia kabisa.
 
Huo ndio ukweli, Kwenye bangi sio mchawi tu,, hata majini ni hayasogei.

Dunia ndio iko hivo, nakumbuka kuna mtaalamu alikua akielezea kuna mti fulani wa kawaida tu, kuwa endapo mtu aliyechukuliwa msukule akiuchukua na kuushika basi kumbukumbu zake zinaweza kurudi na kumsaidia kutoroka huko anapo tumikishwa.

Mti wenyewe sindio wa BANGI ndugu?
 
Habari zenu ndugu zangu wa Jf ni imani yangu kwamba nyote mko salama na niwape pole kwa mihangaiko ya wiki nzima hakika kazi inaendelea.

Sasa ndugu zangu mojakwamoja twende kwenye mada yetu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.

Kumekuwa na stori stori nyingi mtaani kila mtu akisema lake kuhusiana na kilevi aina ya BANGI lakini katika vyote nilivyowahi kuvisikia kuhusiana na kilevi hiko mpaka kupelekea kuandika uzi huu ni kwamba.

Siku moja nilikaa kijiweni na washkaji kadhaa sasa mmojawapo alikua akivuta BANGI kwa wakati ule ilikuwa kama mida ya saa moja moja hivi jioni sasa ghafla tukaanza sikia sauti ya paka mita kadhaa akilia sana yaani alianza kulia dakika kadhaa baada ya jamaa yule kulipua kitu cha Arusha sasa alikuwa akipiga sana kelele ikabidi tuache stori zetu tuulizane kwani vipi maana hata tulipojaribu kumfukuza ni anakimbia mita kadhaa kisha anarudi anajificha sehemu fulani ambayo ni gizani anajua ni ngumu kumuona na anaanza kulia kama kawaida.

Sasa buana yule jamaa aliekuwa akivuta akatuambia kwamba huyu ni mchawi hataki tuvute bangi inamsumbua alituambia kwamba nyumba ya jirani kuna bibi mmoja wanamshukia sana kuhusu masuala ya ushirikina inawezekana kamaindi.

Nikajaribu kumuuliza kwamba kwani BHANGI ina uhusiano gani na masuala ya uchawi jamaa akaniambia “ebhanaee hii kitu iheshimu kwasababu ina nguvu kubwa sana katika mambo mengi hii kitu ukiwa unavuta mchawi hakusogelei hata kidogo yaani anapita mbali kabisa”.

Sasa ilinibidi niangue kicheko lakini moyoni nikajisemea yaani nitafanyia uchunguzi kama ni kweli nami nianze tu kutumia hii kitu maana nimezungukwa na wanga kwasana na mimi sio mtu wa dini sana wala mganga simjui anafananaje kwahivyo siku nikigundua kuna ukweli aisee itanibidi niitumie kama kinga yangu.

Sasa ndugu zangu najua wakongwe wapo humu naombeni kufahamu je ni kweli BHANGI inaweza kukukinga dhidi ya wachawi?

Na kama kuna anaefahamu nguvu ingine ya BHANGI si mbaya akatujuza hapa.

Nawasilisha
Cc.mshana jr
 
Huo ndio ukweli, Kwenye bangi sio mchawi tu,, hata majini ni hayasogei.

Dunia ndio iko hivo, nakumbuka kuna mtaalamu alikua akielezea kuna mti fulani wa kawaida tu, kuwa endapo mtu aliyechukuliwa msukule akiuchukua na kuushika basi kumbukumbu zake zinaweza kurudi na kumsaidia kutoroka huko anapo tumikishwa.
Unalogwa vizuri tu na bangi zako
 
Mimi nawashauri sana wavuta bangi wasipende kukaa vijiweni. Bangi inapenda ukae peke yako uwaze plans zako za kimaisha au kama ni kufanya tafakari inasaidia sana. Bangi inakufanya kuwa mtu wa shukrani, mtu wa amani na inakujenga kiroho kama utaipenda kwa jinsi inavyokupa nguvu ya kuyatazama maisha katika mtazamo ambao ni clear. Bangi inafungua ile power iliyo ndani yako, hata hofu ya kesho inaondoka unaona unakuwa mtu wa matarajio makubwa katika kutafuta ndoto zako.

Lakini tatizo ni moja ukivuta bangi ukakaa kijiweni mnaanza kupiga story ambazo hazina uhalisia kabisa mwisho wa siku mtazungumzia na maisha ya watu tu, ona sasa mnaanza kumzungumzia Bibi ambaye hamna uhakika lakini mnahisi ni mchawi.
Unajua mkuu bangi ni kama amplifier, ukiamini kitu kwa udogo tu au ukiaminishwa utajijengea wazo mpaka utaamini vitu ambavyo havipo. Ona jamaa anavyoamini inafukuza wachawi. Wakati ni imani tu za mtaani.

Niliwahi kuzungumza na jamaa mmoja ambaye amejijenga kiroho sana, ingawa hatumii mjani, lakini anajitahidi kufuata na kuutafuta ukweli wa mambo mengi ya kidunia. Katika mazungumzo nikamuuliza swali kama hili, maana hata hapa jf watu wameuliza swali kama hili mara nyingi mno. Akaniambia viumbe kama majini wanavutiwa na baadhi ya tabia za kibinadamu ambazo sometimes ni anasa, kama pombe, bangi, ngono n.k. Hivyo kama wewe unatumia mjani jua kwamba kuna viumbe wanavutiwa na harufu yake na wanakuwa wanachill na wewe kipindi unavuta bangi.

Vilevile kuna nchi nyingi za kiafrika na huko majuu, waganga na wachawi ( kule nje ya Africa uchawi ni tasnia na taaluma siyo kulogana sana kama Africa) lazima wavute bangi ili wapate stimu ya kupandisha mashetani yao, hata ukiingia mtandaoni vitu kama hivyo utavikuta.

Sasa sijui kwanini waTanzania tumeamua kudanganyana kiasi hiki kuhusu bangi. Mara utaambiwa bangi inafanya uwe kichaa, mara ukivuta bangi punje ya mchele inakuwa jabali, ukivuta bangi ukawa mcheshi na watu, watu wanasema bangi hizo. Yaani mambo mengi ambayo kimsingi hayana uhalisia kabisa.

Asante sana ndugu umenifumbua mengi ambayo nilikuwa sifahamu [emoji120]
 
Watu wa kigoma Kuna dawa Fulani wanaichanganya kwenye bangi halafu ndio wanavuta
Hapo mchawi yoyote km yupo Kati yenu anawanga LAZIMA apate shida
Sasa sijajua huyo jamaa yako pengine alichanganya na hiyo dawa ila hakuwaambia
 
Back
Top Bottom