Je, ni kweli bangi inaweza kukinga dhidi ya wachawi?


Mkuu una madini sana ila naomba kufahamu codes za jinsi ya kufanya kabla ya kulala ili wasinisogelee kabisa
 
we umeshawahi kuvuta?
 
Tumia akili usitumie mtk! Bangi na uchawi vina uhusiano Gani?
 
Bangi huongeza machale au hisia za kiroho, ziwe nzuri au mbaya. Sasa ikiwa kuna kitu kibaya au mtu mbaya mahali, yule mtu anaekula mjani ni rahisi kumjua. Ili kujua zaidi kuhusu mmea, ingia google search, pdfdrive, humo search liber 420. Ni kitabu chenye mambo mengi kuhusu mjani hasa matumizi yake ya kiroho na katika ibada.
 
Hakuna uchawi wala hakuna shetani. Pacha ubaguzi na masaa.Sayansi imekupita kushoto
 
Noted
 
Acha porojo tutajie izo code Na hesab Na kanuni kama ww ni msema kweli
 
Hii mada najua ni. Ya mda Sana kifupi uliyosema Kwa upande wangu nimeyaona...na mara zote nakuwa hivyo nikivuta nikiwa peke angu napangilia mambo meng na unanipa uhalisia wa mambo mengi mnoo na hata kipenz changu napoongea naye pind anapokuwa mbali najikuta Nina mbinu nyingi za kumsoma yupo ktk Hali gani mpaka anasemaga we unanionea huku niliko aunaniona au kumbe hapana na inanifanyaga nisijichukulie poa Kwa mambo mengii..kifupi nikivuta nikiwa peke angu najigundua mwenyewe kabla ya kuambiwa na umefanya niwe mtu poa Kwa kila mmoja na nimekuwa kipenz cha wengi kwa sababu imenifanya niwe mkarim na mpole mwenye huruma na kusamehe..lakini pia umefanya niyathamini maisha yangu binafsi kuanzia ndan mpaka njee...Kaka hongera Kwa kunifanya nisijione mtu flani ambaye Wenda nilidhani solo sawa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…